Death after life
JF-Expert Member
- May 22, 2021
- 379
- 422
Mkuu ukigonga utafungwa tuu utake usitake.Huo utajiri masharti yake yasinizuie kugonga, kunishinikiza kuua mzazi ama kupata watoto, kutembelea gari na kupendeza hapo sawa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ukigonga utafungwa tuu utake usitake.Huo utajiri masharti yake yasinizuie kugonga, kunishinikiza kuua mzazi ama kupata watoto, kutembelea gari na kupendeza hapo sawa!
Hahahaha ndio maana huku Chugga watoto wengi huzaliwa mwezi wa tatu, nne na tano. Baridi hii ni hataree yaani pombe Kali Kama maji tuPoleni sana, ni muda wa ndoa kuimarika na uzao kuongezekaa[emoji28]
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
usione mjini mtu kapendeza anakula Bata batani Hana Kaz haeleweki ukajua mtaasis au muuza madawa ya kulevya watu Wana kamba zao akitoka TU mlango anaiyangusha inaanza kusakanya mitaani huko mpaka jion inarudisha return![]()
![]()
![]()
![]()
[em![]()
Duuu ☹️Jifunze kusikiliza...kama hujui jua shit exist
Jamaa sio kauzu. Tamaa tu ndizo zilimpelekaKuna jamaa alipelekwa porini akaambiwa ageukie mlimani then adake kitu chochote kitakacho mjia.ghafla akaona booonge la mjiwe unaporomoka toka juu ya momma huku unavunja miti unabiringika kuja kwake..jamaa akalala mbele..akafeli[emoji23][emoji23][emoji23]. Unaanzaje kuudaka mjiwe mkubwa Kama ghorofa..
Hapo sawa!Ule kwa mama ntilie maisha yako yote. Hapo vipi?
Hilo sharti watu wanalitimiza bila ajizi ha ha haHapo sawa!
Mkuu ni PM[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sio mbali Kuna mwana mmoja asaiv ana vyuma hatarii alikula kiapo yeye na mkewe hakuna kuchepuka akitaka mwanamke lazima afunge nae ndoa Kwanza ndio amgegede.
Jamaa alikuwa Hana vyuma nikampeleka Hilo chimbo alivyofanikiwa kanikataa kabisa yaaani kisa mm sijataka huo utajiri habar ya kupangiana kugegeda sitak kusikia kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio mbali Sana nikupita mto wami TU kwa mbele
Nilikufanyia usanii gani funguka hapa watu wajue Kama nilikuomba hata hela yako Wala kuomba namba yako ya simu napenda uwaambie uma wa jf usanii wangu uko wapiHuyo ni msanii mkuu hatokusaidia kwa lolote, niamimi mimi!
Njoo PM mkuu tafadhaliNilikufanyia usanii gani funguka hapa watu wajue Kama nilikuomba hata hela yako Wala kuomba namba yako ya simu napenda uwaambie uma wa jf usanii wangu uko wapi
Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app