[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyu ndo demi kopenziKuna watu wana kipaji cha kusave kutimiza malengo.
Lakini we UMUGHAKA unawezaje kuishi bia demu? Zaidi ya yule Monica mchawi kule kijijini hujawahi simulia kuhusu mwanamke mwingine
Ameahidi kutuletea mkasa wa madem zake tunasubiriπ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyu ndo demi kopenzi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jinsi ulivyo tapeliwa hiyo 9M umenikumbusha nilivyompa mtu 500k aipeleke mahali nikampa na elf 15 ya nauli japo nauli ilikua hata elfu 3 inatosha kufika njian akaichezea kamari akaliwa yote alafu akanipigia simu kwa simu ya kuazima akanimbia "Bro naomba kama una elfu mbili nitumie nikifika huko tutaongea"
Nikamuulize hela imefika? Akanijibu usiwe na haraka bro we nitumie elfu mbili nije nikuelezee vizuri kwa simu hutanielewa.
Nilimpa jibu moja tu "usirudi nitakuua"
[emoji847][emoji847][emoji847]Mimi ni shabiki namba moja wa migegeduo. Unitag wa kwanza kabisa..
Kama nakuonaAmeahidi kutuletea mkasa wa madem zake tunasubiri[emoji3]
Naamini na wewe utakesha kwenye huo uzi πKama nakuona
Wengine tunaponzwa sana na wanawakeKuna watu wana kipaji cha kusave kutimiza malengo.
Lakini we UMUGHAKA unawezaje kuishi bia demu? Zaidi ya yule Monica mchawi kule kijijini hujawahi simulia kuhusu mwanamke mwingine
Muhim unitag ukishushwaNaamini na wewe utakesha kwenye huo uzi π
Ha haa poleniWengine tunaponzwa sana na wanawake
Usijali nitakutag.Muhim unitag ukishushwa
Umeamkaje lakini
Niko poa kabisaUsijali nitakutag.
Nimeamka salama siku ni njema.
Naamini uko poa
Unanimisije na nipo hapa nimejaa tele?Niko poa kabisa
Kukumis kwa mbali π€
Si ndo najishangaa na mimiUnanimisije na nipo hapa nimejaa tele?
Hata mimi nilishangaa kuishi kwenye chumba cha gharama hvyo tena chumba na sebuleHapo kulipia chumba hela yote mie nisingeweza kulipa ,chumba kimoja godoro neti ya hema ndoo ya maji maisha yanasonga. Hela nyingi nawekeza nifanye biashara
Tatizo ni nini kwani?πSi ndo najishangaa na mimi
Hakuna tatizo muhim na wewe umenimis ndo la secondary πTatizo ni nini kwani?π
Umejuaje nimekumiss?Hakuna tatizo muhim na wewe umenimis ndo la secondary π
Sababu kubwa kuna mwanamke wa matawi ya juu nilizaa nae,amekuwa kama breki kwangu,ila nataka nipambane niweze kupata kipato kingine kitakachoweza kunisaidia kubalance matumiz ya huyu mwanamkeAcha Bwana wee..inakwaje unapokea jiwe tisa kila muezi afu unashindwa kusave hata M4 kwa mwaka?
NimeotaUmejuaje nimekumiss?
Loh basi sawaaaaa.πNimeota