Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Kama hayo uliyosema kweli wapemba wote wangelikuwa matajiri. Kuamini ushirikina ni uzuzu😂😂
 
Acha ujuaji kwenye maisha ya watu,unajua story imetokea miaka mingapi ilopita?haya mtu unamdai anakuambia njoo chukua hela yako utahangaika kumwambia niwekee Bank wakati kakuitia cash?punguza uhasi kwenye maisha yako mkuu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…