Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
baby zu: mla makabichi na mboga mboga mwenye manywele anakuja nyuma yako huyo🤣🤣Yan sitaki kuona hata mtu akikatwa , mi movie na nataka ziwe soft
Kama hayo uliyosema kweli wapemba wote wangelikuwa matajiri. Kuamini ushirikina ni uzuzu😂😂Hawa wapemba Wana kawaida ya kuchungulia nyota za watu akishaona nyota yako Ina mvuto basi anaanza kuwa karibu na wewe na kuanza kukusogeza Kwa mtego wa pesa na kazi za kupata riziki hapa na pale lakini Lengo ni kuiba nyota yako au kuitumikisha nyota yako Kwa manufaa yake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu jamaa leo kazingua sijalala ucku wote et nasubir muendelezo
= "Code is right in the way." ☑️uncoded code right in the way,
🤣🤣🤣🤣Toka mwaka Jana nipo apa nasubir mwendelezo wa mwaka Jana tulipo ishia 😂😂😂 neno "mwaka Jana "sasa🤣
Acha ujuaji kwenye maisha ya watu,unajua story imetokea miaka mingapi ilopita?haya mtu unamdai anakuambia njoo chukua hela yako utahangaika kumwambia niwekee Bank wakati kakuitia cash?punguza uhasi kwenye maisha yako mkuu.Naomba kila msukule abaki na imani yake,hii story kama UMUGHAKA kaitunga au kaitungua pahali atakuwa anajua mwenyewe
Kuna kasehemu hapo eti UMUGHAKA alipewa pesa million 40 apeleke bank sijuhi kulikuwa na umuhimu gani wa yeye ndio aipeleke bank wakati Ally Mpemba angeweza tu kutuma mamba za acc kwa yule dada pesa ikawekwa bila kuirisk mikononi mwa umukurya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jinsi ulivyo tapeliwa hiyo 9M umenikumbusha nilivyompa mtu 500k aipeleke mahali nikampa na elf 15 ya nauli japo nauli ilikua hata elfu 3 inatosha kufika njian akaichezea kamari akaliwa yote alafu akanipigia simu kwa simu ya kuazima akanimbia "Bro naomba kama una elfu mbili nitumie nikifika huko tutaongea"
Nikamuulize hela imefika? Akanijibu usiwe na haraka bro we nitumie elfu mbili nije nikuelezee vizuri kwa simu hutanielewa.
Nilimpa jibu moja tu "usirudi nitakuua"