Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Habari za leo wakuu, bila shaka mko poa.

Nitaendelea kusimulia afya yangu ikitengemaa maana siko vizuri, Siku mbili zimepita nimetoka huko Kigamboni sasa nadhani nilipata mdudu (Korona), aisee kanitandika kinoma, sema nimejitahidi sana kutumia virutubisho na hivi sasa naendelea vema japo viungo vya mwili vinauma vibaya sana!.

Msijali nitaendelea nilipoishia,hali itakuwa vema ndugu zangu.

Nawapenda sana.
 
Ila ile million 9 ulipigwa muraa, uongo ?
 
We jamaa hauko makini na pesa, mtu anakufungia vioo eti anasingizia betrii, ivi kwel unajua ndugu yako yupo njian anakuja eti betrii ikusumbue bas unaacha unalala zako kwa amani ameshindwa kuweka line kwa mtu au simu ingine ili ukimpigia umpate, au aweke battery lingine,

Bado amewash asimu na unampa 9 million na ata anapoishi haupajui. ulipuliziwa dawa ya umbu muraa
 
Pole na kumbe covid bado ipo
 
Uaminifu wa mtu toka kijijini ni mkubwa sana.
Hajui mjini watu karibu wote wameharibika
 
Pole sana Omughaka get well soon mkuu[emoji120]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Pole kijana ila siyo korona hyo

Wee sema una mambo mengine inakufanha ushindwe kuleta visa Happ
Kigamboni ulienda kufanya nn wakt wee unapaki boda boda bunju b je umeenda kupiga dili zako zile chafu[emoji23]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ni umpumbavu San amefanya huyu kiajna

I'll ukimbuambia unaambiwa uanaaribu story watu hwataki kuoji vitu vya msingi
 
Wengine now ndio muda wa lunch, tunasubiria msosi kwa mama ntilie huku tunaperuzi jf
 
stori kama hizi kabla ya kusoma hua nascroll mpaka mwisho ili kujihakikishia kua sitapoteza muda wangu.
 
Pole sana
 
Pole sana
 
Endelea mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…