Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kubetiKuwa na roho ngumu, kabla ya kuoa tenga fungu la hela, mpeleke hospitali kubwa kwa ajili ya checkup, fanya fertility test, cheki kizazi kama kiko flesh, pima magonjwa ya kurithi halafu na wewe jipime uhakikishe uko flesh.
Baada ya hapo omba Mungu sana then Oa
Nadhani hili liende sambamba na kupima na kutambua kama uliwahi kupiga punyeto muda mrefu, maana wanaume lege lege huko chini kwenye ndoa ni wengi na ni mizigo kwa wake zao na butu kutungisha mimba 🐒Kwa wale wenye exp
UTAJUAJE KABLA ya kumuoaa huyu mdadaaa alikuwa ametoa mimba sana...
Issue sio kuwa pamoja n kujua Alisha...,• Unajua katika maisha, usiogope kufanya kitu fulani ikiwa tu kina manufaa kwako au kwa familia kwa ujumla.
• Mimba mwanamke anaweza kutoa kutokana na sababu mbali mbali :-
1 • ilitoka yenyewe( lakini alikuwa na lengo la kuzaa)
2 • Alitoa kwa kulazimishwa( mwenye Mimba aliikataa, alikuwa mwanafunzi, wazazi walimtoa kwa sababu hawakutaka azae na kijana fulani)
3. Ilitolewa kwa ajili ya kulinda afya yake( Mimba kutungwa inje ya kizazi)
4. Hulka yake kufanya hivyo kila Mimba ikiingia( umalaya kwa sana)
Sababu hizo hapo juu ni zinaweza kusabaisha Mimba kutoka/kuhariba,
Je!, utakubalina na sababu moja wapo atakayokupa kati ya hizo hapo juu na mkaendelea kuwa wamoja??? 🤔🤔
Sanaa saaaaanaaaaa TU kabisaaanadhani hili liende sambamba na kupima na kutambua kama uliwahi kupiga punyeto muda mrefu, maana wanaume lege lege huko chini kwenye ndoa ni wengi na ni mizigo kwa wake zao na butu kutungisha mimba 🐒
• Kama ni hivyo, haina faida.... Andaa shamba kama unania ya kulima... 🤝🤝Issue sio kuwa pamoja n kujua Alisha...,
MAANA mabinti wakikaa sana bila mtoto wanapelekwa hosp wanaambiwa kizazi kimelegeaa src n hizi abortion sasa vyema tukawa na uelewa au utambuzi shirikishi
Please be serious.Mwanamke aliyelala na wanaume wengi utamjua kwa kuangalia mabega yake ..yameshuka..
maana wengi ni butu kwenye 6kwa6, nyeto zimewafubaza na zimewalegeza huko chini...Sanaa saaaaanaaaaa TU kabisaaa
Kuwepo na chk ya HAYA MAMBO KABLA ya ndoa...mmmh wanaumee mmejiandaaa punyetooooonism hahahaa
Kabisaa mkuuu napendekeza namaana wengi ni butu kwenye 6kwa6, nyeto zimewafubaza na zimewalegeza huko chini...
badala ya kutoa fundo la manii wanatoa vimaji kidunchu kama kuku 🐒
pamoja na hilo la kwenye hoja ya msingi, nashauri hili nalo litazamwe kwa jicho la kipekee sana 🐒
Upo sahihi,Sababu nyingii n abortion
Weeeeeekubanaaa mpwaa utaliaa niliwekewa udi sijui alichanganya na nn yule mdadaa yaan imebana utasema bikira nkamuuliza akasema wanafukiza vitu sikunbuki Ile mix unaweza acha na ya nauli mkuuMnato unapungua, halafu haibani flani😀