Utajuaje kama alishawahi toa mimba mfululizo kabla ya kumuoa?

Utajuaje kama alishawahi toa mimba mfululizo kabla ya kumuoa?

Kwa wale wenye exp

UTAJUAJE KABLA ya kumuoaa huyu mdadaaa alikuwa ametoa mimba sana.

KUNA ndoa nyingi wanateseka kupata watoto na pale wanapoenda hospitalini hujulishwa mkeo ALISHAWAHI TOA sana Mimba

Nawaza wale wanandoa watatajiwa mtajuaje mtarajiwa ana shida hiyo?
watu wa zamani waliweza kujua , kuna vitu waliangalia
kuna kipindi bibi alitutembelea hapo dar. hapo hom kulikuwa na mpangaji ,tulisikia ametoa mimba
sasa kuna siku bibi alimtazama akaniuliza huyu binti ana mtoto ? nikamjibu hapana , bibi akaniambia basi atakuwa ametoa mimba
nikamuuliza bibi kajuaje?
bibi akaniambia muonekano wa shingo ya msichana ambaye hajazaa na aliyezaa ni tofauti
sema sikujifunza zaidi
 
Sidhani. Mbona wapo 35+ na wanazaa vizuri tu? Mimi nadhani ni jinsi mtu alivyojitunza.

Mtu hajawahi kutoa mimba. Hajawahi kutumia hizi sumu za uzazi wa mpango. Hajawahi kufakamia p2. Hajawahi kupata magonjwa ya zinaa. Na yuko 28+. Kwa nini ashindwe kuzaa? 😳
miaka 28 kwamba hajawahi kufanya au?
 
Kwa wale wenye exp

UTAJUAJE KABLA ya kumuoaa huyu mdadaaa alikuwa ametoa mimba sana.

KUNA ndoa nyingi wanateseka kupata watoto na pale wanapoenda hospitalini hujulishwa mkeo ALISHAWAHI TOA sana Mimba

Nawaza wale wanandoa watatajiwa mtajuaje mtarajiwa ana shida hiyo?
Maziwa yana lala mno
 
Wasomi wengi wa vyuo wanakuwa washavuka "best fertility time" ambayo ni 17-25 yrs sasa ukichukua shangazi wa 28yrs hapo lazima mbust uzazi mix kuhangaika sana
Kweli nilipata lishangazi lilikuwa na miaka 36 kila likibeba ujauzito unatoka, kuchunguza alikuwa anatomic uzazi wa mpango na Madawa mengine ya kurudisha edhi.
 
Kweli nilipata lishangazi lilikuwa na miaka 36 kila likibeba ujauzito unatoka, kuchunguza alikuwa anatomic uzazi wa mpango na Madawa mengine ya kurudisha edhi.
Achaneni na mashsngazi...
😂😂😂😂😂
 
Nimesikitika sana kuona huu izi..nilimkosa mwanaume kisa kutaka nibene mimba ndio aje nyumbani, nadhani alikua na mawazo kama ya mtoa mada.
 
Thread ya namna hii huwezi kuona comment ya mdada, women are more reserved than men nowadays.,
 
Back
Top Bottom