Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Mbona simple tu? Labda kazi ngumu kwa wale wanaochelewa sana kuoa. Mimi nimeoa nikiwa na umri wa miaka 24. Na nikaoa binti wa miaka 18 tu,bado mbichi kabisa.
Pia Muhimu uwe na muda nae kiasi kwenye kuwa karibu nae. Walau usiopungua mwaka mmoja. Utapata muda wa kumchunguza.
Kwako sasa mfano kwa binti kama huyo hata usimkute bikra bado utakuwa umeoa mtu ambae hajafanya mambo mengi ya dunia hii
Pia Muhimu uwe na muda nae kiasi kwenye kuwa karibu nae. Walau usiopungua mwaka mmoja. Utapata muda wa kumchunguza.
Kwako sasa mfano kwa binti kama huyo hata usimkute bikra bado utakuwa umeoa mtu ambae hajafanya mambo mengi ya dunia hii