Utajuaje kama alishawahi toa mimba mfululizo kabla ya kumuoa?

Utajuaje kama alishawahi toa mimba mfululizo kabla ya kumuoa?

Kuoa Mwanamke aliyopita chuo kikuu kwa kweli kwa asilimia kubwa ni hasara kuliko faida.

Kwa nini mkuu?

Mimi nadhani ni tabia tu ya mtu maana siyo wote waliopita chuo kikuu walifanya umalaya huko. Na unaweza kuoa ambaye hajapita chuo kikuu na mtaa ukawa umemchakaza. Kuna mabinti wengi tu waliopita vyuo vikuu lakini walijiheshimu wakatoka wako vizuri hawajatumika sana hata kama walideti huko na kuwa na permanent lovers.

Tusiwahukumu wasomi mkuu. After all tuliowaharibu huko vyuoni ni sisi wenyewe hawa hawa. Kwani tulitegemea nani atakuja kuwaoa? 😳
 
Kwa nini mkuu?

Mimi nadhani ni tabia tu ya mtu maana siyo wote waliopita chuo kikuu walifanya umalaya huko. Na unaweza kuoa ambaye hajapita chuo kikuu na mtaa ukawa umemchakaza. Kuna mabinti wengi tu waliopita vyuo vikuu lakini walijiheshimu wakatoka wako vizuri hawajatumika sana hata kama walideti huko na kuwa na permanent lovers.

Tusiwahukumu wasomi mkuu. After all tuliowaharibu huko vyuoni ni sisi wenyewe hawa hawa. Kwani tulitegemea nani atakuja kuwaoa? 😳
Wasomi wengi wa vyuo wanakuwa washavuka "best fertility time" ambayo ni 17-25 yrs sasa ukichukua shangazi wa 28yrs hapo lazima mbust uzazi mix kuhangaika sana
 
Kuwa na roho ngumu, kabla ya kuoa tenga fungu la hela, mpeleke hospitali kubwa kwa ajili ya checkup, fanya fertility test, cheki kizazi kama kiko flesh, pima magonjwa ya kurithi halafu na wewe jipime uhakikishe uko flesh.

Baada ya hapo omba Mungu sana then Oa
Fertility Test ambayo ni 100% accurate ni kumpachika mimba na kumzalisha
kabla ya ndoa. Usioe mwanamke ktk zama hizi kabla hujamzalisha. Utakuja kuita maji mma!
 
Wasomi wengi wa vyuo wanakuwa washavuka "best fertility time" ambayo ni 17-25 yrs sasa ukichukua shangazi wa 28yrs hapo lazima mbust uzazi mix kuhangaika sana
Sidhani. Mbona wapo 35+ na wanazaa vizuri tu? Mimi nadhani ni jinsi mtu alivyojitunza.

Mtu hajawahi kutoa mimba. Hajawahi kutumia hizi sumu za uzazi wa mpango. Hajawahi kufakamia p2. Hajawahi kupata magonjwa ya zinaa. Na yuko 28+. Kwa nini ashindwe kuzaa? 😳
 
Sidhani. Mbona wapo 35+ na wanazaa vizuri tu? Mimi nadhani ni jinsi mtu alivyojitunza.

Mtu hajawahi kutoa mimba. Hajawahi kutumia hizi sumu za uzazi wa mpango. Hajawahi kufakamia p2. Na yuko 28+. Kwa nini ashindwe kuzaa? 😳
Ukiona period ujue ni mayai yanasepa sasa kadri mda unavyokwenda mayai bora yanatoka yanabakia yaliyo dhaifu, pili mfumo wa maisha na kutokula vyakula vya asili, kula kisasa na mafuta sana hupelekea kuwepo kwa matatizo ya uzazi hasa hormone imbalance na mayai dhaifu
 
Hayo yote ni matokeo ya jamii yetu kuendekeza na kuabudu uzinzi ulio pitiliza, kwa hali hii unategemea kizazi kitapona kweli?

Siku hizi ndani ya jamii yetu mtu mzinzi ndo mjanja na ukiamuwa kutulia na kuuepuka uzinzi ,kama ni binti ataitwa mshamba ,kama ni wa kiume utaitwa domo zege au shoga.
Haswaa, umemaliza kila kitu.
 
Fertility Test ambayo ni 100% accurate ni kumpachika mimba na kumzalisha
kabla ya ndoa. Usioe mwanamke ktk zama hizi kabla hujamzalisha. Utakuja kuita maji mma!
Naunga Mkono hoja
 
Ukiona period ujue ni mayai yanasepa sasa kadri mda unavyokwenda mayai bora yanatoka yanabakia yaliyo dhaifu
Hii biology ya WAPI?

Mimba haihusiani na ubora wa yai bali ubora wa mji wa Mimba na ubora wa Mbegu ndio maana hutakuta popote mganga kaweka Bango la nguvu za kike sijui Dawa ya kuimarisha yai la uzazi na ujinga mwingine wowote unahusiana na hayo

Matumizi ya vidhibiti Mimba ndio vinaharibu kila kitu kwa Mwanamke kuanzia vijiti na madawa mengine hususani hii Dawa yao pendwa ya kisasa inaitwa P2

Mwanamke Mji wake wa Mimba upo kwa ajili ya kupokea Mimba anafanya vinginevyo kuzuia asipate Mimba ndio shida inaanza mfano kuziba kwa mirija ya uzazi, kansa ya kizazi, kuharibika kwa Mji wa Mimba, na mengineyo
 
Hayo yote ni matokeo ya jamii yetu kuendekeza na kuabudu uzinzi ulio pitiliza, kwa hali hii unategemea kizazi kitapona kweli?

Siku hizi ndani ya jamii yetu mtu mzinzi ndo mjanja na ukiamuwa kutulia na kuuepuka uzinzi ,kama ni binti ataitwa mshamba ,kama ni wa kiume utaitwa domo zege au shoga.
[emoji419]
 
Nenda hospital kamchek hataki asepe ndoa ni maisha yako kosea ujute.
Wakristo tuna cheti kimoja tu cha ndoa.
 
Sidhani. Mbona wapo 35+ na wanazaa vizuri tu? Mimi nadhani ni jinsi mtu alivyojitunza.

Mtu hajawahi kutoa mimba. Hajawahi kutumia hizi sumu za uzazi wa mpango. Hajawahi kufakamia p2. Hajawahi kupata magonjwa ya zinaa. Na yuko 28+. Kwa nini ashindwe kuzaa? 😳
Mwanamke anazaliwa na mayai yake yote, kila hedhi inayopita bila kutunga mimba yai/mayai yanakuwa yamepotea bure now jumlisha mimba zilizotoka, na kila mwaka unaopita uwezo wa kuzaa unakuwa umepungua.

Hakuna manzi rahisi kumpata Kama mwanamke wa miaka 30 awe single uwe na akili na maisha kidogo
 
Hakuna manzi rahisi kumpata Kama mwanamke wa miaka 30 awe single uwe na akili na maisha kidogo
Siyo kweli mkuu. Labda hapa unazungumzia wale ambao hawajitambui; na walioaminishwa na jamii kwamba thamani ya mwanamke inatokana na yeye kuwa na mume. Au wale ambao wamepitia hekaheka nyingi za mapenzi na ngono mpaka miili yao imeanza kuchoka.

Vinginevyo hakuna ukweli wo wote. Nawajua mabinti kadhaa ambao wako 30+ lakini wanaijua thamani yao, hawana watoto wala mume na wako bize kujiboresha na kujitafuta kwanza.

Sijui ni nani aliyewaaminisha watu kwamba mwanamke bila kuolewa au kuwa na mtoto hana thamani. Jambo hili huwa linanishangaza sana!

Screenshot_20240331_155029_US Newspapers.jpg
 
Kama mtu kaanza ngono na miaka 13 na kakutana na boys straika, wanaotafuta medali za dhahabu, kizaz na mfumo wa uzazi lazma vizeeke haraka.

Hapo sijagusia vidonge, maambukizi ya Ngono, vyakula, nk.

Msichana anaweza asitumie hizo contraceptives lakini hiyo mikiki Tayari kizazi kimekwisha. Wahongaji Hawataki kusamehe hata senti nusu. 🤭
 
Kama mtu kaanza ngono na miaka 13 na kakutana na boys straika, wanaotafuta medali za dhahabu, kizaz na mfumo wa uzazi lazma vizeeke haraka.

Hapo sijagusia vidonge, maambukizi ya Ngono, vyakula, nk.

Msichana anaweza asitumie hizo contraceptives lakini hiyo mikiki Tayari kizazi kimekwisha. Wahongaji Hawataki kusamehe hata senti nusu. [emoji2960]
Fact
 
Sidhani. Mbona wapo 35+ na wanazaa vizuri tu? Mimi nadhani ni jinsi mtu alivyojitunza.

Mtu hajawahi kutoa mimba. Hajawahi kutumia hizi sumu za uzazi wa mpango. Hajawahi kufakamia p2. Hajawahi kupata magonjwa ya zinaa. Na yuko 28+. Kwa nini ashindwe kuzaa? 😳


Ndugu kuwa makini.

Sayansi inasema age is a major fertility factor for women.
 
Hii biology ya WAPI?

Mimba haihusiani na ubora wa yai bali ubora wa mji wa Mimba na ubora wa Mbegu ndio maana hutakuta popote mganga kaweka Bango la nguvu za kike sijui Dawa ya kuimarisha yai la uzazi na ujinga mwingine wowote unahusiana na hayo

Matumizi ya vidhibiti Mimba ndio vinaharibu kila kitu kwa Mwanamke kuanzia vijiti na madawa mengine hususani hii Dawa yao pendwa ya kisasa inaitwa P2

Mwanamke Mji wake wa Mimba upo kwa ajili ya kupokea Mimba anafanya vinginevyo kuzuia asipate Mimba ndio shida inaanza mfano kuziba kwa mirija ya uzazi, kansa ya kizazi, kuharibika kwa Mji wa Mimba, na mengineyo

Acha ubishi wa kijinga. Nenda kamuulize Gynocologist yeyote akufafanulie.

Jamaa anasema ukweli mtupu. Mwanamke akiwa mdogo anakuwa na quality eggs kuliko mwanamke mkubwa
 
Back
Top Bottom