Utajuaje kama alishawahi toa mimba mfululizo kabla ya kumuoa?

Issue sio kuwa pamoja n kujua Alisha...,
MAANA mabinti wakikaa sana bila mtoto wanapelekwa hosp wanaambiwa kizazi kimelegeaa src n hizi abortion sasa vyema tukawa na uelewa au utambuzi shirikishi
 
nadhani hili liende sambamba na kupima na kutambua kama uliwahi kupiga punyeto muda mrefu, maana wanaume lege lege huko chini kwenye ndoa ni wengi na ni mizigo kwa wake zao na butu kutungisha mimba 🐒
Sanaa saaaaanaaaaa TU kabisaaa
Kuwepo na chk ya HAYA MAMBO KABLA ya ndoa...mmmh wanaumee mmejiandaaa punyetooooonism hahahaa
 
Issue sio kuwa pamoja n kujua Alisha...,
MAANA mabinti wakikaa sana bila mtoto wanapelekwa hosp wanaambiwa kizazi kimelegeaa src n hizi abortion sasa vyema tukawa na uelewa au utambuzi shirikishi
• Kama ni hivyo, haina faida.... Andaa shamba kama unania ya kulima... 🤝🤝

• Huo ni uongo mkubwa, bint kukaa mda Mrefu bila kuwa na mtoto, haina uhusiano wowote na utanukaji wa kizazi..
 
• Kama ni hivyo, haina faida.... Andaa shamba kama unania ya kulima... 🤝🤝

• Huo ni uongo mkubwa, bint kukaa mda Mrefu bila kuwa na mtoto, haina uhusiano wowote na utanukaji wa kizazi..
Sababu nyingii n abortion
 
Sanaa saaaaanaaaaa TU kabisaaa
Kuwepo na chk ya HAYA MAMBO KABLA ya ndoa...mmmh wanaumee mmejiandaaa punyetooooonism hahahaa
maana wengi ni butu kwenye 6kwa6, nyeto zimewafubaza na zimewalegeza huko chini...
badala ya kutoa fundo la manii wanatoa vimaji kidunchu kama kuku 🐒

pamoja na hilo la kwenye hoja ya msingi, nashauri hili nalo litazamwe kwa jicho la kipekee sana 🐒
 
Kabisaa mkuuu napendekeza na
Punyetonism ijadiliwe pia
 
Mungu atusaidie TU...
 
Mnato unapungua, halafu haibani flani😀
Weeeeeekubanaaa mpwaa utaliaa niliwekewa udi sijui alichanganya na nn yule mdadaa yaan imebana utasema bikira nkamuuliza akasema wanafukiza vitu sikunbuki Ile mix unaweza acha na ya nauli mkuu
 
Huoni sasa hivi wanaenda kifunga ndoa miezi michache kabla ya kujifungua au baada ya kujifungua?kupanga ni kuchagua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…