Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
watu wa zamani waliweza kujua , kuna vitu waliangaliaKwa wale wenye exp
UTAJUAJE KABLA ya kumuoaa huyu mdadaaa alikuwa ametoa mimba sana.
KUNA ndoa nyingi wanateseka kupata watoto na pale wanapoenda hospitalini hujulishwa mkeo ALISHAWAHI TOA sana Mimba
Nawaza wale wanandoa watatajiwa mtajuaje mtarajiwa ana shida hiyo?
miaka 28 kwamba hajawahi kufanya au?Sidhani. Mbona wapo 35+ na wanazaa vizuri tu? Mimi nadhani ni jinsi mtu alivyojitunza.
Mtu hajawahi kutoa mimba. Hajawahi kutumia hizi sumu za uzazi wa mpango. Hajawahi kufakamia p2. Hajawahi kupata magonjwa ya zinaa. Na yuko 28+. Kwa nini ashindwe kuzaa? π³
Maziwa yana lala mnoKwa wale wenye exp
UTAJUAJE KABLA ya kumuoaa huyu mdadaaa alikuwa ametoa mimba sana.
KUNA ndoa nyingi wanateseka kupata watoto na pale wanapoenda hospitalini hujulishwa mkeo ALISHAWAHI TOA sana Mimba
Nawaza wale wanandoa watatajiwa mtajuaje mtarajiwa ana shida hiyo?
Kweli nilipata lishangazi lilikuwa na miaka 36 kila likibeba ujauzito unatoka, kuchunguza alikuwa anatomic uzazi wa mpango na Madawa mengine ya kurudisha edhi.Wasomi wengi wa vyuo wanakuwa washavuka "best fertility time" ambayo ni 17-25 yrs sasa ukichukua shangazi wa 28yrs hapo lazima mbust uzazi mix kuhangaika sana
Mimi na mpenzi wangu wote tumeoana chuo je hii ipo vipiKuoa Mwanamke aliyopita chuo kikuu kwa kweli kwa asilimia kubwa ni hasara kuliko faida.
Achaneni na mashsngazi...Kweli nilipata lishangazi lilikuwa na miaka 36 kila likibeba ujauzito unatoka, kuchunguza alikuwa anatomic uzazi wa mpango na Madawa mengine ya kurudisha edhi.