Utajuaje kama huna nafsi au umeuza nafsi

Tuna tishika kishenzi kuusu kifo naawa ma shekh nama pastor kumbe Ni kutoa ofu [emoji120][emoji120][emoji120] kinacho takiwa nikufwata sheria tu[emoji120][emoji120]
Peter we ni mkristu bila shaka na unatambua kuwa Sheria zilikuwepo kabla Yesu hajaja duniani,sasa jiulize Yesu alikuja kufanya nini?na kifo chake kina umuhimu gani?je asingekufa ingekuwaje?au asingekuja kabisa ingekuwaje?
Comment yako imeonyesha una haja ya kujifunza nafasi ya Yesu kwenye wokovu
 
Umetaja Adam, ukataja na Hawa kama creation,swali hapa, ni kivipi uliweza kuwafahamu Adamu na Eva kama si creation theory unayesema kwako si kitu.

Au we mwenzetu Adam na Eva unao wasemea hapa umewapata sehemu gani?
Good question
 
Kwamba umekemea kwa jina la Yesu wenge halijatulia ila limetulizwa na maji ya baraka? Jitafakari coz thats impossible.
 
Umetaja Adam, ukataja na Hawa kama creation,swali hapa, ni kivipi uliweza kuwafahamu Adamu na Eva kama si creation theory unayesema kwako si kitu.

Au we mwenzetu Adam na Eva unao wasemea hapa umewapata sehemu gani?

Adamu na hawa ni clones ambao ni souless beings waliotengenezwa ili kuharibu destiny ya wanadamu huru, ni historia fake ambayo wanadamu wameuziwa ukweli wa chimbuko la binadamu ni tulikuwepo toka mwanzo hakuna kiumbe chichote kinqchojua asili yake.
 
Ebu Ni fafa nulie ao MUNGU wawili kwenye dini izi za ki kristo na uislam please [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Mungu Wa kweli ni sheria za ulimwengu ambazo zimeshikilia na kuongoza kila kitu. Huyo mungu ambaye ni mfano wa mwanadamu ni story tuu. Ulimwengu unashikiliwa na sheria moja ambayo ameitaja sir isac newton.

Huyo mungu mkuu anaitwa The All. Yani kila kitu. Na ana matawi mawili.

Tunaposema mungu wawili tunamanisha ni ying and yang au black and white (duality) ambazo ni masonic principles. Good and evil ndio nguvu zinazoongoza duniani.

Hivo vitendo vyote ambavyo ni vizuri kama Love mungu wao ni mzuri na vitu vipaya kama chuki roho mbaya mungu wao ni shetani. Mungu mmoja ni positive na mwingine ni negative. Shetani pia ni mungu kama mungu unayemjua na ana watu wake ambao anaishi ndani yao ambao ndio hawa watu wasio na nafsi.
 
Sasa mkuu unaposema kuhusu Reincarnation una maana kwamba hizi nafsi zetu zilishawahi kuishi huko nyuma??
Na je unaposema ni za watu waliokosea kuishi huko nyuma na wamekuja tena kurekebisha makosa yao! Sasa je hao watu wenye hizo nafsi za kurekebisha makosa yao wanajua kua walishawahi kuishi huko nyuma na sasa wapo kurekebisha ama ni wanarekebisha bila kujua kua waliwahi kuishi??

Na je wewe ni nafsi mpya au na ww ni umekuja tena mara pili??
 
Meditation nilifanya nikaumwa kichwa nikaacha, hizo meditation ni uchawi flani, na ukitoa roho yako ukabugi kitu ukutaka kurudisha roho kwa mwili na nyama ikigoma ndio umekufa hivo
 
Hauna nafsi mpaka sasa
 
Tunafanya meditation
 
Umefungwa kifikra
 
Nimekuelewa sana kiongozi
 
Meditation nilifanya nikaumwa kichwa nikaacha, hizo meditation ni uchawi flani, na ukitoa roho yako ukabugi kitu ukutaka kurudisha roho kwa mwili na nyama ikigoma ndio umekufa hivo
Wanaofundisha hivi vitu wanavipamba sana kuwa ni kitu kizuri, bila kutaja na madhara yake.
 
Kwamba umekemea kwa jina la Yesu wenge halijatulia ila limetulizwa na maji ya baraka? Jitafakari coz thats impossible.
Nilivyokemea kwa jina la Yesu wenge lilitulia na hata nilipokunywa maji ya baraka wenge halikutulia kabisa.
Hiyo ndio possible, umeridhika sasa boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…