Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Wapo wengi wameoa bikira bado wanapigwa matukio mazuri tu. Kwani bikira sio binadamu? Shida inayokujia wewe utaoa bikira sio tabia. Ndio maana nimekuambia ukifika 35+ ndio utatafakari Pumba ulizoziandika leo.Ndio maana mnaoa malaya wanawapiga matukio mnakuja kulialia humu
A hoe can never be unhoed
Mtapinga sana ila ukweli upo pale pale kama umeona bikra huyo sio mke walk ni mke wa aliembikiriWapo wengi wameoa bikira bado wanapigwa matukio mazuri tu. Kwani bikira sio binadamu? Shida inayokujia wewe utaoa bikira sio tabia. Ndio maana nimekuambia ukifika 35+ ndio utatafakari Pumba ulizoziandika leo.
Hata mimi sijakuelewa mkuu. Hivyo, naona hatujaekewana, au siyo?Ulitaka kumaanisha nini mkuu? Sijekuelewa hapa
Definition yako imekaa poa sana mkuu.Kwani kahaba ni nani? Kahaba ni mwanamke anayetumia viungo vyake kwa ajili ya kujipatia kipato, hoja sio bikira, ilimradi anatumia mwili wake kujipatia kipato huyo ndio kahaba.
Malaya ni Nani? Malaya ni mwanamke au mwanaume asiyetosheka na mpenzi mmoja, yaani mwanamke atakuwa na Juma, wakat huo huo anatembea na John, mwanaume yuko na Mwantumu wakati huo huo anatembea na Salome
Kwa kiswahili chepesi, Malaya anafananishwa na mlafi, mwanaume anataka kila shimo aingie yeye, na mwanamke anataka kila tango ale yeye
Asante mkuu, tunawekana sawa, mtoa mada anaweza akajikuta dada zake wote ni makahaba kwa sababu walio waoa sio waliowatoa bikira, na anaweza kuwa ana hasira maana hajawahi kula mwenye bikira ni kuwa mpole tuDefinition yako imekaa poa sana mkuu.
Wakati huo yeye mwenyewe anaweza kuwa malaya tu kwa sababu analala na wanawake tofauti.Asante mkuu, tunawekana sawa, mtoa mada anaweza akajikuta dada zake wote ni makahaba kwa sababu walio waoa sio waliowatoa bikira, na anaweza kuwa ana hasira maana hajawahi kula mwenye bikira ni kuwa mpole tu
KabisaWakati huo yeye mwenyewe anaweza kuwa malaya tu kwa sababu analala na wanawake tofauti.
Njia ya Cuba buongea yote..Ukimkuta sio bikira hilo ni jibu tosha kuwa mwanamke uliye naye hajatulia ni malaya
Hili halihitaji mjadala wala kuandika uzi mrefu
Ukweli ni kwamba miaka hii binti akishabikiriwa ujue ndiyo ameanza safari ya umalaya iwe direct au indirect
Learn or perish
🤣🤣Humo wamo adi mama zako na dada zako na shangazi zako na bibi zako
Kwahiyo sio mbaya
Hapana , huu ni udhalilishaji.Ukimkuta sio bikira hilo ni jibu tosha kuwa mwanamke uliye naye hajatulia ni malaya
Hili halihitaji mjadala wala kuandika uzi mrefu
Ukweli ni kwamba miaka hii binti akishabikiriwa ujue ndiyo ameanza safari ya umalaya iwe direct au indirect
Learn or perish
anatumia masaburiStress zitawaua,kila siku mnawaanzishia nyuzi wanawake?asa huu ni uzi wa mtu anayefikiri kwa kutumia kichwa kweli?
Wanawake wote ni makahaba mkuu. Hata huyo mke uliye naye ni kahaba mamboleo. Usimwamini mwanamke hata siku moja hata angekuwa mke wa askofu. Akili zao ni moja.Ukimkuta sio bikira hilo ni jibu tosha kuwa mwanamke uliye naye hajatulia ni malaya
Hili halihitaji mjadala wala kuandika uzi mrefu
Ukweli ni kwamba miaka hii binti akishabikiriwa ujue ndiyo ameanza safari ya umalaya iwe direct au indirect
Learn or perish