Utajuaje kama mwanamke uliye naye ni kahaba?

Utajuaje kama mwanamke uliye naye ni kahaba?

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
3,651
Reaction score
11,548
Ukimkuta sio bikra hilo ni jibu tosha kuwa mwanamke uliye naye hajatulia ni malaya

Hili halihitaji mjadala wala kuandika uzi mrefu

Ukweli ni kwamba miaka hii binti akishabikiriwa ujue ndiyo ameanza safari ya umalaya iwe direct au indirect

Learn or perish

 
Kwani kahaba ni nani? Kahaba ni mwanamke anayetumia viungo vyake kwa ajili ya kujipatia kipato, hoja sio bikira, ilimradi anatumia mwili wake kujipatia kipato huyo ndio kahaba.

Malaya ni Nani? Malaya ni mwanamke au mwanaume asiyetosheka na mpenzi mmoja, yaani mwanamke atakuwa na Juma, wakat huo huo anatembea na John, mwanaume yuko na Mwantumu wakati huo huo anatembea na Salome

Kwa kiswahili chepesi, Malaya anafananishwa na mlafi, mwanaume anataka kila shimo aingie yeye, na mwanamke anataka kila tango ale yeye
 
Ukimkuta sio bikira hilo ni jibu tosha kuwa mwanamke uliye naye hajatulia ni malaya

Hili halihitaji mjadala wala kuandika uzi mrefu

Ukweli ni kwamba miaka hii binti akishabikiriwa ujue ndiyo ameanza safari ya umalaya iwe direct au indirect

Learn or perish

Na utajuaje pia kwamba mwanaume ni mteja wa kahaba/anafanya mapenzi na kahaba?
 
Malaya ni nani? Malaya ni mwanamke yoyote yule ambae anafanya mapenzi na mwanaume ambae hadi wazazi wake wanajua kwamba fulani ndio mwanaume anae Tembea na binti yetu..
Wakati mwingine mwanamke huyo hupewa hadi " cheti" ya kuhalalisha ukahaba wake ambacho kimebatizwa jina " Cheti cha ndoa"

Kitendo cha mwanamke kuwa anakazwa. Wazazi wake wanajua kwamba binti yao anakazwa. Wanamjua hadi anae mkaza. Na mwanamke huyo wala hao ni aibu tena kuhusu hilo yani anajua kabisa hadi baba ake anamjua mwanaume anae mkaza. Na anajua kwamba kila siku usiku anakazwa.

Mwanaume huyo anaenda hadi kujitambulisha nyumbani kwa wazazi wa binti huyo ili apewe ridhaa ya kuwa ana mkaza kila siku.

Hakuna umalaya na ukahaba mkubwa kama huo.

Swali kwako mtoa mada sasa.

Babu yako kizaa mama ako alikuwa anafahamu kuhusu uhusiano wa baba ako na mama ako?
 
Ila ki ukweli kabisa mwanamke ambaye sio bikira hata mahari tunajipendekeza tu kutoa .Huyo ni wa kupewa bure.
Mungu kuweka bikira sio kichaa ana maana kubwa sana.Sema sisi tunachukulia poa ila watu wa dhamani walkua wanalipa uzito sana hili swala .
Unakuta mwanamke keshatoa mimba hata saba ama keshatembea na wanaume 60 ww hata akizaa watoto wako wanakua na nuksi +mikosi na mwanamke nae unakuta keshajaa mamikosi kibao.
 
Back
Top Bottom