Utakatishaji Fedha, Biashara inayoendelea kwa Siri kubwa

Utakatishaji Fedha, Biashara inayoendelea kwa Siri kubwa

Mtoa post unaonekana hujui maana ya Utakatishaji fenda ni Kuitoa pesa chafu ambayo ilipatikana visivyo halali eg wizi uwe wa serikalini au ujambazi au hela uliyoipata visivyo halali na kwa vile ni nyingi unataka isikae mkononi mwako iwe kwenye mzunguko ili ufaidike baada ukiwa nayo watu wajue uliipata kwa biashara isionekane kuwa uliipata kwa njia isiyo halali serikali ijue kuws chanzo cha mapato yako ni ile biashara na sio vinginevyo.
Sasa ulichongea sindio mleta mada ameongea
 
Mfano msani A ameenda kufanya shoo. Mtu anataka kumtumia kitakatisha fedha. Huyo mtu atamlipa kiasi cha fedha labda bilioni mbili ambazo kimsingi hazilingani na thamani ya shoo hiyo.
Hiyo bilioni mbili ni fedha chafu. Kwahiyo ataingiza kwenye akaunti ya msani A. So hela itaingia benki( mfumo rasmi wa fedha) hapa tayari fedha chafu imeingia kwenye mfumo Ili iwe safi. Baada ya muda msani yule ataenda kwa mfano kununua apartment, mabasi ya biashara, malori na kadharika kutokana na fedha Ile na ikiwa imetokea benki. Hapa fedha tayari imetakakata na imeingia kwenye mzunguko rasmi. Sasa kwenye kununua vitu hivyo wao msani A na mhusika watajua wanafanyaje.
 
Show room za magari na maduka kama ya simu maduka ya nguo ndio cover kubwa ya kutakatisha pesa.

Inshort mtu anakuaminisha kwa macho source of income yake ni hii lakini ana issue zake nyuma ya pazia.

Ndio maana kuna watu hawaweki pesa bank wanakaa na cash ndani, Magufuli alidhurumu sana pesa za watu kwa kisingio hicho, na kesi yake ni uhujumu uchumi haina dhamana.
 
Pesa chafu NI Ile unayoshindwa kutoa maelezo ya kibiashara na kikodi ulivyoipata...inawezekana kwa mikopo umiza au magendo au uhalifu wowote...so unatafuta Aina ya biashara unajifanya kuwa imekuwa na inaendelea kuzalisha fedha kwa kuiingiza kwenye acc ya biashara ukifanya kwamba NI mauzo halali...watu wengi walishauriwa fedha zao kununua mashamba na kukodisha wakulima na kujifanya NI wao waliolima na kuvuna mapesa mengi...wengine walinyanganywa baada ya kushindwa kuzitolea maelezo...
 
Back
Top Bottom