Mambo ya kizamani hayo, shule zilikuwa mbali. Watoto wa english medium ukiwaambia stori hizo watashangaa. Cha ajabu hawa watoto wa kishua ni empty set darasani, bila spoon feeding hawatoboi
Inawezekana mimi nikiwa la4 nilikuwa nauwezo wa kuchunga ng'ombe 200+ huwezi elewa kwa sasa maana hakuna maeneo ya kuchungia. miaka ya 98 ng'ombe unawapeleka machungani wewe unarudi nyumbani kwana hakuna mashamba ya chakula cha watu ni pori tu tulichokuwa tunahofia ni kupoteza mifugo lakini si kulisha kwenye mashamba ya watu.
Ng'ombe mnawaacha tangia asbh hadi saa9 muda huo ninyi mnawinda tu sugura na digidigi