Utamsikia mgeni anasema: "Yani mjomba, sisi wakati wa Nyerere tulikuwa tunatembea kwenda shule usawa wa Kariakoo hadi Kibaha. Nyie vijana namna gani."

Sasa c nyinyi mjombaa πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„...wkt km huu daladala na bajaji na boda zinawafikia watu wa dar mpk mlango mjombaa kuwapeleke shuleπŸ˜„πŸ˜„..

Nyakati zinabadilikaa mjombaa...
 
Mambo ya kizamani hayo, shule zilikuwa mbali. Watoto wa english medium ukiwaambia stori hizo watashangaa. Cha ajabu hawa watoto wa kishua ni empty set darasani, bila spoon feeding hawatoboi
 
Sasa c nyinyi mjombaa πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„...wkt km huu daladala na bajaji na boda zinawafikia watu wa dar mpk mlango mjombaa kuwapeleke shuleπŸ˜„πŸ˜„..

Nyakati zinabadilikaa mjombaa...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kila mzee anakwambia alikua anakuwa wa kwanza darasani ni ada tu ilikosa...
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

"Nilikuwa na uwezo wa kuchunga ng'ombe 1000 mimi mwenyewe"
Inawezekana mimi nikiwa la4 nilikuwa nauwezo wa kuchunga ng'ombe 200+ huwezi elewa kwa sasa maana hakuna maeneo ya kuchungia. miaka ya 98 ng'ombe unawapeleka machungani wewe unarudi nyumbani kwana hakuna mashamba ya chakula cha watu ni pori tu tulichokuwa tunahofia ni kupoteza mifugo lakini si kulisha kwenye mashamba ya watu.

Ng'ombe mnawaacha tangia asbh hadi saa9 muda huo ninyi mnawinda tu sugura na digidigi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…