Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kumsingizia mama yangu anazo zote hizo na zaidi. Wewe ndiyo kiwembe. [emoji16][emoji16] [emoji41][emoji41]Hizo tabia hapo labda tukamchonge espy wa maboksi, ninayemuona hawezi kuwa hivyo, hata nusu[emoji23][emoji23][emoji23]
Weeeh mie material wife acha kabisa, hadi najionea wivu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hizo tabia hapo labda tukamchonge espy wa maboksi, ninayemuona hawezi kuwa hivyo, hata nusu[emoji23][emoji23][emoji23]
Unawajua Slay Queens ?Kwani vina shida gani hvyo viatu?
Acha unaa basi!Awe na bikra au Bikra sio muhimu ?
Kwa hiyo mimi babako umeamua kunikosea heshima, ni kiwembe?[emoji23][emoji23]Acha kumsingizia mama yangu anazo zote hizo na zaidi. Wewe ndiyo kiwembe. [emoji16][emoji16] [emoji41][emoji41]
Leo nakuruhusu kasafari kamoja dota[emoji1787][emoji1787][emoji8]Acha kumsingizia mama yangu anazo zote hizo na zaidi. Wewe ndiyo kiwembe. [emoji16][emoji16] [emoji41][emoji41]
Sio kweli...NAKUJUA!Weeeh mie material wife acha kabisa, hadi najionea wivu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Daktari amesema mtoto asigombezwe.Kwa hiyo mimi babako umeamua kunikosea heshima, ni kiwembe?[emoji23][emoji23]
Kweli naona tumefikia ile hatua ya kuvumiliana[emoji2297][emoji2297][emoji2297]Sio kweli...NAKUJUA!
Nimegusa maslahi yako ?Acha unaa basi!
Baba bora tu uwe mpole nisije nikamtaja na yule 'shangazi' aliyeninunulia baiskeli juzi hadi ukaniambia nisimwambie mama [emoji16][emoji16]Kwa hiyo mimi babako umeamua kunikosea heshima, ni kiwembe?[emoji23][emoji23]
Ndiyo niko namalizia bilauri ya mwisho ya Kimario hapa nikalaleLeo nakuruhusu kasafari kamoja dota[emoji1787][emoji1787][emoji8]
Nikuimbie Bia Tamu ?Ndiyo niko namalizia bilauri ya mwisho ya Kimario hapa nikalale
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Daktari amesema mtoto asigombezwe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baba bora tu uwe mpole nisije nikamtaja na yule 'shangazi' aliyeninunulia baiskeli juzi hadi ukaniambia nisimwambie mama [emoji16][emoji16]
Mweeh! Hutaniwi[emoji2297][emoji2297]Ndiyo niko namalizia bilauri ya mwisho ya Kimario hapa nikalale
Uishie hapo hapo![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Umenikumbusha ile ya yanga