Utamu wa tikiti ukubwa wake unahusika


Mbagala maeneo yapi mkuu?rang 3 au mpaka live dar?nimemiss sn
 

mnene + mwembamba =?
mwembamba +mnene =?

wanaume mchele mwembamba kazi mnayo.
 

Hongera kwa ufafanuzi ulio jaa hekima na lugha staha japo sijui kama ni kweli kwa wote.
 
Hauko peke yako mie bado😕😕😕

Hamjaelewa kwa makusudi tu, lakini ukweli mnajua, maana binafsi naamini most of JF users are great thinker, na hakika hauhitaji nguvu kuubwa kujuwa nini kinachojadiliwa.

Jambo la msingi hapa ni kuwapongeza wahusika hasa mwanzisha mada na pia wachangiaji wote kwa uwezo wao mpana wa kuweza kutumia lugha ya picha ambayo hakika inaleta staha mbele ya wachangiaji na wasomaji wengine.

Aidha pia mjadala mzima uko biased, kwa maana kwamba mawazo mengi yanatoka kwa Me kul;iko Ke

CC lolowapi
 
Last edited by a moderator:

Raha ya kula tikiti ni maji mengi , yaani linateleza tu Mdomoni hadi raha ,,,,,
 
Raha ya kula tikiti ni maji mengi , yaani linateleza tu Mdomoni hadi raha ,,,,,

Ndo nala saa hii limemenywa likamenyeka! Limekatwa vipande vidogovidogo halafu likawekwa kwenye baridi SAA hii niko na jamvi chini ya mwembe na msuli na mgololi, sahani la tikiti liko juu ya shubaka nabarizi
 
Ndo nala saa hii limemenywa likamenyeka! Limekatwa vipande vidogovidogo halafu likawekwa kwenye baridi SAA hii niko na jamvi chini ya mwembe na msuli na mgololi, sahani la tikiti liko juu ya shubaka nabarizi

Yes Yes...barizi kaka, jiachie!! ni kubwa ama dogo?
 

Inamaanisha wanawake hatuli matikiti wanaume ndo walaji lol
 
Last edited by a moderator:

Lugha gongana
 
Ukilipatia na ndizi lililokomaa vizuri swaafi sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…