Utamu wa tikiti ukubwa wake unahusika

Utamu wa tikiti ukubwa wake unahusika

Hauko Sahihi Rudia Zoezi hilo, Yanapatikana Mengi Maeneo ya Mbagala na bei ni Nafuu zaidi Kuliko sehemu nyingine kwa Dar; Unaweza kuanza na dogo Maana utalimaliza , Usije kuanza na Kubwa kwa sababu Hautalimaliza Litakukifu Naamini waweza hata Kulitupilia mbali.

Mbagala maeneo yapi mkuu?rang 3 au mpaka live dar?nimemiss sn
 
[FONT=book
antiqua]Ukitaka kupata tikiti lenye ladha nzuri i mean tamu, basi chagua
lile lililo kubwa kubwa.Hii kitu ni ukweli mtupu, huwezi kulinganisha
ladha ya tikiti dogo (hata kama limekomaa) na tikiti kubwa.Ndiyo ilivyo
even to

wanawake wembamba si sawa na wanene. :A S 103::A S
103:[/FONT]

mnene + mwembamba =?
mwembamba +mnene =?

wanaume mchele mwembamba kazi mnayo.
 
Tikiti Kubwa Lina Maji Mengi; Ukichovya Mdomo Unalowana hadi Kwenye Nyele za Kidevuni; Kitiki Lilotamu ni Lenye Umbo Jembamba; Hii ni Sawa na "Nyama" Kwani Ile iliyokaribu na Mfupa ni Tamu kuliko Zote. Makubwa yana Maji mengi na yale Maji hata yanalowanisha mavazi.

Hongera kwa ufafanuzi ulio jaa hekima na lugha staha japo sijui kama ni kweli kwa wote.
 
Hauko peke yako mie bado😕😕😕

Hamjaelewa kwa makusudi tu, lakini ukweli mnajua, maana binafsi naamini most of JF users are great thinker, na hakika hauhitaji nguvu kuubwa kujuwa nini kinachojadiliwa.

Jambo la msingi hapa ni kuwapongeza wahusika hasa mwanzisha mada na pia wachangiaji wote kwa uwezo wao mpana wa kuweza kutumia lugha ya picha ambayo hakika inaleta staha mbele ya wachangiaji na wasomaji wengine.

Aidha pia mjadala mzima uko biased, kwa maana kwamba mawazo mengi yanatoka kwa Me kul;iko Ke

CC lolowapi
 
Last edited by a moderator:
Tikiti Kubwa Lina Maji Mengi; Ukichovya Mdomo Unalowana hadi Kwenye Nyele za Kidevuni; Kitiki Lilotamu ni Lenye Umbo Jembamba; Hii ni Sawa na "Nyama" Kwani Ile iliyokaribu na Mfupa ni Tamu kuliko Zote. Makubwa yana Maji mengi na yale Maji hata yanalowanisha mavazi.

Raha ya kula tikiti ni maji mengi , yaani linateleza tu Mdomoni hadi raha ,,,,,
 
Raha ya kula tikiti ni maji mengi , yaani linateleza tu Mdomoni hadi raha ,,,,,

Ndo nala saa hii limemenywa likamenyeka! Limekatwa vipande vidogovidogo halafu likawekwa kwenye baridi SAA hii niko na jamvi chini ya mwembe na msuli na mgololi, sahani la tikiti liko juu ya shubaka nabarizi
 
Ndo nala saa hii limemenywa likamenyeka! Limekatwa vipande vidogovidogo halafu likawekwa kwenye baridi SAA hii niko na jamvi chini ya mwembe na msuli na mgololi, sahani la tikiti liko juu ya shubaka nabarizi

Yes Yes...barizi kaka, jiachie!! ni kubwa ama dogo?
 
Hamjaelewa kwa makusudi tu, lakini ukweli mnajua, maana binafsi naamini most of JF users are great thinker, na hakika hauhitaji nguvu kuubwa kujuwa nini kinachojadiliwa.

Jambo la msingi hapa ni kuwapongeza wahusika hasa mwanzisha mada na pia wachangiaji wote kwa uwezo wao mpana wa kuweza kutumia lugha ya picha ambayo hakika inaleta staha mbele ya wachangiaji na wasomaji wengine.

Aidha pia mjadala mzima uko biased, kwa maana kwamba mawazo mengi yanatoka kwa Me kul;iko Ke

CC lolowapi

Inamaanisha wanawake hatuli matikiti wanaume ndo walaji lol
 
Last edited by a moderator:
Ukitaka kupata tikiti lenye ladha nzuri i mean tamu, basi chagua lile lililo kubwa kubwa.Hii kitu ni ukweli mtupu, huwezi kulinganisha ladha ya tikiti dogo (hata kama limekomaa) na tikiti kubwa.Ndiyo ilivyo even to

wanawake wembamba si sawa na wanene. :A S 103::A S 103:

Lugha gongana
 
Ukilipatia na ndizi lililokomaa vizuri swaafi sana...
 
Back
Top Bottom