Utani wa watu ninaoupenda hapa JF pamoja na watu na mada utakazowakuta

Utani wa watu ninaoupenda hapa JF pamoja na watu na mada utakazowakuta

wakuu Mambo ni vipi.

Mimi huwa napenda sana kusoma mada mbali mbali hapa Jf
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu, Leo nitazungumizia utani wa watu hapa Jf na watu na mada ambazo utawakuta.

1 . Ni Accumen Mo na mgalatia Maghayo
Hawa ndugu zangu mimi huwa wananifurahisha sana. Nitakapoona komenti ya maghayo basi najua Accumen Mo lazima aweke wino wake hapo na lazima iwe ni kituko. Mwanzoni mgalatia huyu alikuwa ana battle sana na adriz nikaona utani umepungua umeamia kwa accumen mo. Sijui nyinyi mnauchukuliaje utani wenu ila kwangu ni burudani

2. Lucas Mwashambwa
CHIEF PRIEST
Tindo
Ma mmoja anaitwa Benjamin netanyhau

Sijui wao huenda wakawa wanaongea kwa kuchagua pande zao za siasa ila mimi kwangu huwa ni burudani. Hasa Kaka Lucas akiwa anamjibu Benjamin netanyhau huwa anamwambia hivi “ Punguza mibange unayovutia chooni “🤣🤣 binafsi kwangu ni burudani . Tindo na Lucas na ndugu chief priest hazijawahi kuiva ni paka na panya. Hili battle huwa ninalipenda.
Lakini kaka Lucas katokea kumuelewa Sana dada @ephen hata ukiangalia charts zao unaona kuna flow nzuri kabisa baina yao.

Kuna mtu mmoja sijui yeye kama yupo serious ila kwangu huwaga ni kucheka Etwege huyu jamaa yeye hata kama mada inahusu mboga za majani lazima neno Tundu Lissu liingie hapo na lazima atafute koneksheni ya mboga na Tundu lissu. Kwangu mm huwa ni kucheka tu na furaha tele. Nakukubali sana ndugu.

Ukitaka Infropreneur uone komenti yake wewe anzisha mada ya kusema Mungu yupo, kama si komenti ya kwanza mpaka ya tano tangu mada ianzishwe labda hayupo online😂😂 huwa nafurahi sana.

Ukitaka kuona uzi wa mpira unanoga wawepo Hawa watu sana sana kuhus SIMBA VS YANGA

Okwa BOBAN SUNZU mhasibu
Labani og
NALIA NGWENA
Scars
Hapo kuna wananchi na kuna simba watoto wa kariakoo, Mimi huwa majadiliano yao yananifurahisha sana. Ninawakubali sana.

Ngoja niishie hapa next time nitakuja na kitu kinachonifanya Niipende zaidi Jf .

Weka watu unaopenda aidha utani wao au chemistry waliyonayo.

Duuu, haya bwana.
 
Lucas Mwashambwa zamani alikua ananikata sana, baadae nikamuelewa sasahivi nabaki kucheka tu anafurahisha.

Na ndio maana wanamsema lkn akipandisha uzi wanakimbilia
Acha niishie hapa Nisije kububujikwa na machozi kama nimepakwa pilipili usoni
😂😂😂😂mimi sijui watu huwa wanachukuliaje lakini yote kwa yote Lucas ana roho ngumu sana. Wengi hawapendi maandishi yake lakini akianzisha nyuzi yake watu wanajazana .
Huwa ninafurahi sana akianza kujibu watu.
Kaka Lucas Mwashambwa huwa anapokea sapoti kutoka kwa MamaSamia2025 Tlaatlaah Etwege 😂😂hilo ni chama lake.
Ila kuna upinzani akishafika Bams Rabbon Erythrocyte hapo mada lazima ichangamke😂😂😂 aisee hawa watu ni burudani sana hapa JF.
 
😂😂😂😂mimi sijui watu huwa wanachukuliaje lakini yote kwa yote Lucas ana roho ngumu sana. Wengi hawapendi maandishi yake lakini akianzisha nyuzi yake watu wanajazana .
Huwa ninafurahi sana akianza kujibu watu.
Kaka Lucas Mwashambwa huwa anapokea sapoti kutoka kwa MamaSamia2025 Tlaatlaah Etwege 😂😂hilo ni chama lake.
Ila kuna upinzani akishafika Bams Rabbon Erythrocyte hapo mada lazima ichangamke😂😂😂 aisee hawa watu ni burudani sana hapa JF.
HUwa naona wote hao wanataniana na ndio maana kila thread utawakuta wanagombana,
kuna yule mwingine jina limenitoka sijui ni Gilgai galgano kitu kama hicho
 
Nafuraha sana Sikukuu hii Kenge Maghayo The Mongolian Savage ipo kifungoni inatumikia ban , salamu zimfikie kijana wake The Stress Challengerr
🤣🤣🤣🤣mkuu siyo kwamba yupo na Netanyahau wanapanga namna ya kuvunja vinu vya Iran?
Huwa mnanifurahishaga sana. Hili battle Accumen Mo kalinunua vzuri sana😂😂
 
Hujawahi kushuhudia timbwili la MK254 na Malaria 2 ?

Mmoja ana hoja nzito nzito, mwingine anabwabwaja kwa hisia.
MK254 sijawahi kuona komenti yake tofauti na mambo yanayohusu ugaidi wa kiislamu😂😂 . Kama kuna mtu alishawahi kuona MK254 amekomenti kuhusu mada yoyote isiyohusu ugaidi wa kiislamu aiweke hapa.
@malaria2 yeye mada hata kama ni mboga lazima atafute kuingizia neno Kafiri na hiyo mboga ina uhusiano gani😂😂. Kwangu huyu ni komediani ananifurahisha sana.
 
😂😂😂😂mimi sijui watu huwa wanachukuliaje lakini yote kwa yote Lucas ana roho ngumu sana. Wengi hawapendi maandishi yake lakini akianzisha nyuzi yake watu wanajazana .
Huwa ninafurahi sana akianza kujibu watu.
Kaka Lucas Mwashambwa huwa anapokea sapoti kutoka kwa MamaSamia2025 Tlaatlaah Etwege 😂😂hilo ni chama lake.
Ila kuna upinzani akishafika Bams Rabbon Erythrocyte hapo mada lazima ichangamke😂😂😂 aisee hawa watu ni burudani sana hapa JF.
kwahiyo Eid umeamua kuisherehekea kwa kutajataja majina tu, kwa mistari isiyo na vina? 🐒

kama sehemu ya familia ya waTanzania hapa JF, nawatakia nyote Heri, Baraka na Neema Tele za Mungu, katika kusheherekea sherehe hii muhimu sana ya Eid. Na ikawe sherehe Tulivu na ya Amani kwenu nyote, Aimen 🐒
 
Back
Top Bottom