Utani wa watu ninaoupenda hapa JF pamoja na watu na mada utakazowakuta

Utani wa watu ninaoupenda hapa JF pamoja na watu na mada utakazowakuta

kwahiyo Eid umeamua kuisherehekea kwa kutajataja majina tu, kwa mistari isiyo na vina? 🐒

kama sehemu ya familia ya waTanzania hapa JF, nawatakia nyote Heri, Baraka na Neema Tele za Mungu, katika kusheherekea sherehe hii muhimu sana ya Eid. Na ikawe sherehe Tulivu na ya Amani kwenu nyote, Aimen 🐒
na kwako pia mkuu .
 
Nnachoweza kusema hapo.....
ephen_ asije kujichanganya kwa Lucas Mwashambwa atavalishwa vijora vya kijani mwanzo mwisho....
Evelyn Salt Naomba Niachie ephen maana huwa sipendi mtu amtishe wala kumpa hofu. Nipo tayari kutukanwa matusi yote na kupigwa sana lakini moyo wangu utajaa furaha na kuchanua kama ua lililo kando kando ya mto nikiona ephen anayo furaha.
 
😂😂😂😂mimi sijui watu huwa wanachukuliaje lakini yote kwa yote Lucas ana roho ngumu sana. Wengi hawapendi maandishi yake lakini akianzisha nyuzi yake watu wanajazana .
Huwa ninafurahi sana akianza kujibu watu.
Kaka Lucas Mwashambwa huwa anapokea sapoti kutoka kwa MamaSamia2025 Tlaatlaah Etwege 😂😂hilo ni chama lake.
Ila kuna upinzani akishafika Bams Rabbon Erythrocyte hapo mada lazima ichangamke😂😂😂 aisee hawa watu ni burudani sana hapa JF.
Kweli Lucas ana Roho ngumu,

Ila saiz amemsaliti mamake wa kufikia baada ya Kijana RC kupandisha dau!!😀
 
Back
Top Bottom