UTAPELI: Hayawi hayawi sasa yamekua: Tayari LBL kimewalamba

Alafu watu wa LbL wote wana kauli moja ukimwambia kaka noma huko utasikia " TUNAPIGA HELA BALAA, AU MTAJI WANGU USHARUDI NAPIGA FAIDA TU" mamaqe inaingia akilini utumie vijivideo ukitazama ulipwe🤣🤣🤣
Kwa iyo unamaanisha wajinga ndio waliwao, si ndio😂😂
 

Attachments

  • RPReplay_Final1739992249.mov
    9.6 MB
Acha kufuatilia yasiyokuhusu
 
Ule msemo wa wahenga uliosema "wajinga ndio waliowao" umetimia, tamaa ya kutaka pesa haraka inaendelea kuwatafuna watanzania. Muda sio mrefu tulikuwa na tukio hili hili ila watumejisahau.
 
Kuna jamaa alinishawishi nijiunge nilimshangaa kweli mpaka nikampotezea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…