Uchaguzi 2020 Utapeli: Mgombea Ubunge atia nia kugombea majimbo tofauti , ni Rorya na Tarime Mjini , kila jimbo na Chama chake

Tunampa poleeeee......
Moyo wake upo kwa maslahi ya wananchi ambako ni chadema lkn ana hofu ya udharimu wa ccm......

Mtaka yote kwa pupa atakosa yoteee..
 
Mwanaccm agombee Chadema? Hivi hujui kuwa mtu muongo asili yake ni CCM? Huko ndio kwenye asili ya uongo, sio Mwenyekiti, KM, Chakubanga, Mangula, wasanii hadi vuvuzela nyie wote waongo tuu!
Kwahiyo mchungaji Msigwa aliyekiri kuwa muongo na kumzushia Kinana naye ni wa CCM?
 
Katiba ya CCM inasema wazi mwanachama atakoma uanachama kwa "Kujiunga na Chama kingine chochote cha siasa". Katiba ya Chadema pia nayo inasema wazi "Asiwe mwanachama wa Chama kingine cha siasa baada ya kujiunga na CHADEMA."
===
Ninadhani muhusika anajua maelezo ya katiba za vyama hivi, vinginevyo, mleta mada awe ameamua kumchafua.
 
Kwahiyo mchungaji Msigwa aliyekiri kuwa muongo na kumzushia Kinana naye ni wa CCM?
Umewahi kuwa na kesi ya madai mahakamani? Kama hujawahi huwezi kuelewa kwa nini Msigwa katamka yale maneno
 
Na nchi imepoteza mwelekeo inajiendea tu kama jongoo.

Ukifikiria bunge lilivyokuwa unapata mashaka sana juu ya kesho ya taifa hili.
 
Simjui wala sina ugomvi naye wowote
 
Siasa za kuchafuana tu zimeanza mgombea mwenye nia hawezi Fanya huo upuuzi watu wanamtengenezea mazingira ya kutokuaminiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…