Panctuality
JF-Expert Member
- Jun 11, 2019
- 775
- 1,150
miaka flani nyuma, kibanda hakijaisha vyema
niliziba madirisha, nilipiga chumbani, kwa kua inachoke nikatoka nje kwa mda wa dk 20
kurudi, nakuta mende, mijusi, nyoka wadogo, tandu, buibui, wote wamekufa wako pembeni
nilishangaa sana, ilihali lengo ilikua ni kuua mbu, nilishangaa pia kuona naishi na tandu chumbani
Usiitumie kama haikidhi matakwa.Wameandika inaua Wadudu warukao na wanaotembea.
Ila kiuhalisia KUNGUNI hafi kwa HIT wala Rungu wala shoka.
Ndio kitu nilichoamua kwa Sasa.Usiitumie kama haikidhi matakwa.
Unasema!Nunja dawa ya kuua wadudu ya unga mwaga kuzungushia vinapotokea
Angalia vizuri,inawezekana wewe ndio umekosea kusoma.75,000/? Au umekosea kuandika?
Nakubali...lakn haina maana kwamba eti kwakua tunaungaunga maisha ndio tushindwe kutumia bidhaa kwality..Msosi hom kigeto geto
Hebu weka hii hesabu sawa sawa; ni Shilingi 7,500 au 75,000?Nenda supermarket iliyo karibu yako,kanunue spray inaitwa SWASA inauzwa 75000/=....
utanishukuru baadae
Wewe binafsi ulishawahi kutumia hizo dawa za hicho kiwanda cha TBPL yaani Bactivec na Griselesf? Na je, ulishawahi kujiuliza yafuatayo?Tanzania tuna kiwanda kipo Kibaha. Kinatengeneza dawa za kuua mazalia ya mbu. Kipo kibaha, mkoa wa Pwani.
Dawa zao ni nzuri sana unanyunyizia kwenye mazalia ya mbu, mbu kwako wanakuwa historia.
Inauzwa 30mls kwa 1000, lita moja kwa 13000. Nakushauri utumie hiyo
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Mkuu kama Una kunguni unayo shughuli pevu hao wadudu ni resistance hatar hawatoki na hawafi kirahs , dawa Yao ni kujitahidi kutowapata au kua-bandon nyumba Kwa mdaleo nimempata kunguni mmoja nikamuweka sehemu open nakachukua HIT kuona kama wanaosema ni kweli? nikampulizia yule kunguni nikaona bado anatembea tena fasta nikasubiri dakika moja nikampulizia tena HIT nikaona bado anatembea tu, nikahakikisha yanayosemwa ni ukweli, HIT NI OVYOOO SINUNUI TENA
Unaopataje hiyo dawa?Tanzania tuna kiwanda kipo Kibaha. Kinatengeneza dawa za kuua mazalia ya mbu. Kipo kibaha, mkoa wa Pwani.
Dawa zao ni nzuri sana unanyunyizia kwenye mazalia ya mbu, mbu kwako wanakuwa historia.
Inauzwa 30mls kwa 1000, lita moja kwa 13000. Nakushauri utumie hiyo
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Resistance to pyrethroids is often associated with alterations (point mutations) in the para-type sodium channel gene, that cause reduced neuronal sensitivity.Tupe Ilmu/Elimu....
Waaapi, wakishalipwa rushwa wanaacha.....kuna dawa nyingi sana hapa Tanzania hazifai kwa binadamu zinauzwa madukani na fucking TBS wapo wanakuna tu pumbu zao maofisini huku wananchi wanakufa na side effects. Wizara husika ipo lakini wanakaa kimya mpaka watu wafe ndipo utasikia waziri anakuja kujamba hadharani sijuwi nini. Wanashindwa kufanya msako wa kushitukizia kwenye hizi pharmacy na kukamata perpetrators. TBS ni sawa na African Union tu, haina kazi ipo tu pale kama msukule. Tanzania sidhani kama tuna viongozi/mawaziri wanaojitambua, they are all incompetent.TBS wanaangalia haya Madudu.
Rushwa imetamalaki mnoo ktk hii taasisi. tutazidi kuumia tu iliibuka swala la vinywaji vya energy ikakaliwa kimya, ikaibuka sakata la juice zile za Azam nayo ikakaliwa kimya. yaan ni upuuzi tu tunazid kuumia.Waaapi, wakishalipwa rushwa wanaacha.....kuna dawa nyingi sana hapa Tanzania hazifai kwa binadamu zinauzwa madukani na fucking TBS wapo wanakuna tu pumbu zao maofisini huku wananchi wanakufa na side effects. Wizara husika ipo lakini wanakaa kimya mpaka watu wafe ndipo utasikia waziri anakuja kujamba hadharani sijuwi nini. Wanashindwa kufanya msako wa kushitukizia kwenye hizi pharmacy na kukamata perpetrators. TBS ni sawa na African Union tu, haina kazi ipo tu pale kama msukule. Tanzania sidhani kama tuna viongozi/mawaziri wanaojitambua, they are all incompetent.
Tunapata tabu sana.π§πππ ππΊ ππππ ππππ πππ π§π¨π³ ππ..ππΊππππ ππΊπ ππππππΊ ππππΊ ππππΊ ππΊππΊπΎππ½πΊ πππΏππΊπππΊ π’ππππΊ..ππππΊπΌπππΏπΊππΊππΊ ππ ππππ ππ ππΊ ππΊπππΏπ
Hii ni bei ganView attachment 2618207Tumia hii ni nzuri.
Ni elfu tatu iko kidude na dawa zake ni mia miaHii ni bei gan