Utapeli wa Dawa ya 'HIT' katika kuua Mbu

Utapeli wa Dawa ya 'HIT' katika kuua Mbu

Ni kujibana na kuamua tu.hit 7500-8000 na expel ni 12000-14000 kutegemea na eneo
Nadeal na X-P nitaleta mrejesho si ina kopo la white hivi? Nilitumia siku nyingi mnoo
 
miaka flani nyuma, kibanda hakijaisha vyema
niliziba madirisha, nilipiga chumbani, kwa kua inachoke nikatoka nje kwa mda wa dk 20

kurudi, nakuta mende, mijusi, nyoka wadogo, tandu, buibui, wote wamekufa wako pembeni
nilishangaa sana, ilihali lengo ilikua ni kuua mbu, nilishangaa pia kuona naishi na tandu chumbani [emoji28]
Mimi vijimende vidogo vidogo vinatoka chombo vipi hoi
 
miaka flani nyuma, kibanda hakijaisha vyema
niliziba madirisha, nilipiga chumbani, kwa kua inachoke nikatoka nje kwa mda wa dk 20

kurudi, nakuta mende, mijusi, nyoka wadogo, tandu, buibui, wote wamekufa wako pembeni
nilishangaa sana, ilihali lengo ilikua ni kuua mbu, nilishangaa pia kuona naishi na tandu chumbani 😅
Kipindi kile HIT ilikuw HIT kweli wadudu walidedi sana, ila siku hizi HIT ni kama Lavender air freshener.

Tandu mzee wa kukaa chini ya Kapeti huyo nampata vzr kuna huyo na kuna BUIBUI wale wanene.
 
Hizi dawa zilikuwa vizuri miaka minne iliyopita ila hali ya sasa kwa kweli ni UTAPELI wa wazi.

1_ Haiui MBU kwa kiwango kinachopaswa yaani katika Mbu 50 watakufa watatu (3).

Yaan mpk mbu afe ni umloweshe na hiyo dawa ndio atakufa ila ukipuliza kama inavyoelekezwa upulize ktk mazingira ya eneo waliopo, hakika hatokufa Mbu hata mmoja, ukitaka mbu afe ni umshike umpulizie usoni.

2_ Hata Mbu kuzimia kidogo hakuna! Sana sana watajificha tu kwa muda wa lisaa limoja baada ya kupuliza ila watarudi na wakirudi wanarudi na NJAA ya kufa mtu. (Inawezekana hii Dawa ina wapa Appetite zaidi)

Si kwa HIT tu nimetumia dawa ya RUNGU pia haina matokeo mazuri ktk kuangamiza MBU.

Je wana JF mmekutana na hii changamoto?

Je mnapendekeza dawa ipi bora ya kuangamiza hawa viumbe?

NB: nimezungumzia kwa upande wa Mdudu aina ya MBU tu kwa kuwa ndio mdudu anayenisumbua mahala nilipo, hakuna Mende wala wadudu wengine, hivyo ufanisi wa dawa hii kwa kuua viumbe wengine sijaupima.

Nawasilisha.
Hii hata mimi nimeshuhudia ikabidi niachane nayo ila nahisi labda huenda kuna fake. Siku hizi nmerudi kwenye xpel maana mimi na chandarua ni kama sungura na kuoga
 
Hii hata mimi nimeshuhudia ikabidi niachane nayo ila nahisi labda huenda kuna fake. Siku hizi nmerudi kwenye xpel maana mimi na chandarua ni kama sungura na kuoga
Yes, kwa kuw mmenipa recommendations za X-P nahakika itaniokoa.

So kibongo tuna varieties 3 tu za DAWA.

1 Rungu
2 HIT
3 X pel

Na tupo serious kupambana na Malaria?
 
Tutaomba mrejesho kesho kutwa na naomba unitag# hivi ninavyochati nipo nje ya nyumba na nimetoka kuipiga iyo rungu sijui itakuaje katika kuleta matokeo
 
Back
Top Bottom