Hakuna aliebaki pale kila MTU kwao.Vipi ile ofisi pale kafunga?
Kale kadada ka co CEO kalikuwa kademu kake?Aliachana nae alivyoanza kuwa maarufu na demu akaresign kuwa co CEO jamaa akaenda kwa kademu kengine kachuo sijui kale ikawa ivo kwa mujibu wa wanazengo
Wajanja watakuwa wameshambeba ulikuwa unachelewa nini na weweHakuna aliebaki pale kila MTU kwao.
Mi namtafuta yule Dada white mzuri wa reception sijui anaitwa nani .
Mwenye lake naomba
Msosi upo?Na kesho twendeni tukazulumiwe tena millenium tower
Mkuu kama una contacts zake nipe kama wajanja washambeba mi muhuni naenda kumtua .Wajanja watakuwa wameshambeba ulikuwa unachelewa nini na wewe
Mkuu kama una contacts zake nipe kama wajanja washambeba mi muhuni naenda kumtua .
Survival for fittest
ile ya tickmill kwa misosi walikua poa sana ambayo nayo ilikuwa hapohapo milleniumuMsosi upo?
ile ya tickmill kwa misosi walikua poa sana ambayo nayo ilikuwa hapohapo milleniumu
mpka yule demu mzuri mzuri ila wamekula bata balaaYrap anaitwa jabulani ngcobo na mkewe wote wamesekwa ndani chanzo kwazulunatal news
mkuu sio vema ujue atii anapambana na mt4Hahahahahah dogo hela zilimzuzua sana sijui alipatwa na nini
Alianza jeuri na nyodo kudadadek wana tuliokuwa tunampa vitabu longtime akatuona takataka aisee
Tukasema tawile baba hivi sasa kajificha njombe huko kwao anapambana na MT4 haipandi kila siku vitasa kwani soko sio LA babake hahahahshah
ya kesho huenda usiwepo maana sio siku nyingi wametoka hukohuko south kwa kina ngobo bila shaka wanataka kugeuza fursa wadau watakaokuwepo kwanza inaanza saa sita alert kwamba uwe umetoka umefukia mapema msosi kwenu au kwakoKwa hiyo kesho msosi upo au haupo?
π π πya kesho huenda usiwepo maana sio siku nyingi wametoka hukohuko south kwa kina ngobo bila shaka wanataka kugeuza fursa wadau watakaokuwepo kwanza inaanza saa sita alert kwamba uwe umetoka umefukia mapema msosi kwenu au kwako
Dogo mkinga yule wa mbeya na tabia za wakinga nadhani unazijua kwenye kutafuta yuko radhi hata kuuwaHahahahahah dogo hela zilimzuzua sana sijui alipatwa na nini
Alianza jeuri na nyodo kudadadek wana tuliokuwa tunampa vitabu longtime akatuona takataka aisee
Tukasema tawile baba hivi sasa kajificha njombe huko kwao anapambana na MT4 haipandi kila siku vitasa kwani soko sio LA babake hahahahshah
Sasa jeKale kadada ka co CEO kalikuwa kademu kake?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mfungoMsosi upo?
Hivi millenium ndio pale kisenga ppf tower eeeh??ile ya tickmill kwa misosi walikua poa sana ambayo nayo ilikuwa hapohapo milleniumu
Ukipata jibu uniambie tafadhaliKwa hiyo kesho msosi upo au haupo?