UTAPELI WA FOREX: Francisco Magnetics adaiwa kuhama nchi, anadaiwa pesa nyingi. Polisi wamsaka!




 
Forex 🀣🀣🀣🀣
 
mkuu sio vema ujue atii anapambana na mt4
 
Kwa hiyo kesho msosi upo au haupo?
ya kesho huenda usiwepo maana sio siku nyingi wametoka hukohuko south kwa kina ngobo bila shaka wanataka kugeuza fursa wadau watakaokuwepo kwanza inaanza saa sita alert kwamba uwe umetoka umefukia mapema msosi kwenu au kwako
 
ya kesho huenda usiwepo maana sio siku nyingi wametoka hukohuko south kwa kina ngobo bila shaka wanataka kugeuza fursa wadau watakaokuwepo kwanza inaanza saa sita alert kwamba uwe umetoka umefukia mapema msosi kwenu au kwako
πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜›
 
Dogo mkinga yule wa mbeya na tabia za wakinga nadhani unazijua kwenye kutafuta yuko radhi hata kuuwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…