UTAPELI WA FOREX: Francisco Magnetics adaiwa kuhama nchi, anadaiwa pesa nyingi. Polisi wamsaka!

UTAPELI WA FOREX: Francisco Magnetics adaiwa kuhama nchi, anadaiwa pesa nyingi. Polisi wamsaka!

IMG_20190509_115207.jpeg



 
Hahahahahah dogo hela zilimzuzua sana sijui alipatwa na nini

Alianza jeuri na nyodo kudadadek wana tuliokuwa tunampa vitabu longtime akatuona takataka aisee

Tukasema tawile baba hivi sasa kajificha njombe huko kwao anapambana na MT4 haipandi kila siku vitasa kwani soko sio LA babake hahahahshah
mkuu sio vema ujue atii anapambana na mt4
 
Kwa hiyo kesho msosi upo au haupo?
ya kesho huenda usiwepo maana sio siku nyingi wametoka hukohuko south kwa kina ngobo bila shaka wanataka kugeuza fursa wadau watakaokuwepo kwanza inaanza saa sita alert kwamba uwe umetoka umefukia mapema msosi kwenu au kwako
 
ya kesho huenda usiwepo maana sio siku nyingi wametoka hukohuko south kwa kina ngobo bila shaka wanataka kugeuza fursa wadau watakaokuwepo kwanza inaanza saa sita alert kwamba uwe umetoka umefukia mapema msosi kwenu au kwako
😛 😛 😛
 
Hahahahahah dogo hela zilimzuzua sana sijui alipatwa na nini

Alianza jeuri na nyodo kudadadek wana tuliokuwa tunampa vitabu longtime akatuona takataka aisee

Tukasema tawile baba hivi sasa kajificha njombe huko kwao anapambana na MT4 haipandi kila siku vitasa kwani soko sio LA babake hahahahshah
Dogo mkinga yule wa mbeya na tabia za wakinga nadhani unazijua kwenye kutafuta yuko radhi hata kuuwa
 
Back
Top Bottom