Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Harab motors sema wanabeiKwenye manunuzi ya online uwe unafanya na reputable seller,
Bora ungeenda befoward au sbt japan, wana office zao.
Hili suala la kununua kwa kuona ads kwenye random website ni hatari
Nimepigwa jaman ndo nafatilia hapa maana account ni ya Tanzania nimechanganyikiwa, naombeni kujua pa kuanzia ndugu zangu, SIO REAL MOTOR WENYEWE.Huyu jamaa mwenyewe haeleweki maana watu wengi wamemuomba email aliotumia kuwasiliana nao haweki sijui kwa nini anaficha otherwise kaokota habari
Umeambiwa uweke email na namba unazowasiliana nao watu waweze kujua ni wapi umekosea au upo kuchafua kampuni za watuNimepigwa jaman ndo nafatilia hapa.maana account ni ya Tanzania nimechanganyikiwa naombeni kujua pa kuanzia ndugu zangu,SIO REAL MOTOR WENYEWE.
Tatizo unakua mgumu kuelewaa🤕🤕🤕, Wadau wamesema ulete taarifa sahihi, lakini wapi. Ndo maana ulipigwa kizembe.Nimepigwa jaman ndo nafatilia hapa.maana account ni ya Tanzania nimechanganyikiwa naombeni kujua pa kuanzia ndugu zangu,SIO REAL MOTOR WENYEWE.
Pole sana brother.Nimepigwa jaman ndo nafatilia hapa.maana account ni ya Tanzania nimechanganyikiwa naombeni kujua pa kuanzia ndugu zangu,SIO REAL MOTOR WENYEWE.
Watu wanaozunguka kama hawa wanakuaga wachawiUmeambiwa uweke email na namba unazowasiliana nao watu waweze kujua ni wapi umekosea au upo kuchafua kampuni za watu
Nimewasiliana nao Real wa ukweli wameconferm sio waoUmeambiwa uweke email na namba unazowasiliana nao watu waweze kujua ni wapi umekosea au upo kuchafua kampuni za watu
nilikuwa barabarani ndugu zangu,inforealmotor@gmail.com. ndo email yao.Watu wanaozunguka kama hawa wanakuaga wachawi
Maana anaambiwa aweke details alizokua anatumia anabaki kujizungusha tu
Huyu atakuwa anadanganya kwa lengo la kuchafua kampuni ya watu.Watu wanaozunguka kama hawa wanakuaga wachawi
Maana anaambiwa aweke details alizokua anatumia anabaki kujizungusha tu
Pole sana mkuu hiyo ndio imeenda hivyo, next time agiza kwa wenye maofisi yao hukuNimepigwa jaman ndo nafatilia hapa.maana account ni ya Tanzania nimechanganyikiwa naombeni kujua pa kuanzia ndugu zangu,SIO REAL MOTOR WENYEWE.
Hao ndo walio kutapeli?Nimewasiliana nao Real wa ukweli wameconferm sio wao
nilikuwa barabarani ndugu zangu,inforealmotor@gmail.com. ndo email yao.
Siwezi danganya nimetapeliwa kweli ndugu zangu siko kwenye hali nzuri, nifarijini tu najua yatapita naomba Mungu uzima tu.Huyu atakuwa anadanganya kwa lengo la kuchafua kampuni ya watu.
Tunaomba screenshot ya mawasiliano uliyo kuwa unafanya na hao matapeli pamoja na contact zaoSiwezi danganya nimetapeliwa kweli ndugu zangu siko kwenye hali nzuri,nifarijini tu najua yatapita naomba Mungu uzima tu,nimeenda CRDB nimewaomba details za huyo aliyefungua account namba wamekataa hawaruhusiwi details za mtu za kibenki basi nimeishia hapo.
Tunaomba screenshot ya mawasiliano uliyo kuwa unafanya na hao matapeli pamoja na contact zao
Mwishoni utasikia sio mimi ni rafiki yangu😀😀Huyu jamaa mwenyewe haeleweki maana watu wengi wamemuomba email aliotumia kuwasiliana nao haweki sijui kwa nini anaficha otherwise kaokota habari
Mwishoni utasikia sio mimi ni rafiki yangu😀
Naomba kuwasilisha hili kwa faida ya wengi,Mimi niliagiza gari japan kupitia Real motor japan ni miezi kama mitatu sasa.
Kila kitu kikawa kinaenda sawa, nikajulishwa gari imepakiwa nkapewa na jina la meli itafika tarehe ngapi nikawa naitrack fresh kabisa.
Nikaambiwa wanaandaa documents wanitumie through DHL,nimesubiri mpaka hakuna document inayotumwa.
Nimawasumbua sana hapo imebaki one week meli ifike Tanzania wananipanga tu tutatuma tutatuma.mwisho wakaniambia you can cancel the order.
Nikakubali nikacancel ili wanirefund hela yangu.nkatuma details zote za account yangu, up to now kimya natuma message wamenichunia.
Tuwe waangalifu ndugu zangu ntaleta mrejesho zaidi.
Naombeni anayejua hatua za kuchukua
NB: Nilituma pesa kwenye account yao ya Tanzania shillings.