Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
- #21
Kwann hapanaChumbani CCTV hapana kwa kweli labda Koridoni!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann hapanaChumbani CCTV hapana kwa kweli labda Koridoni!
Acheni nyeto zitawauaYani hakuna kitu natamani kama mtu aniambie kanifungia cctv camera gheto ila tu asiniambie kaifunga wapi coz nitaipasua, huyo mwamba atakuwa amenisidia sana kuepukana na nyeto
Kwa sababu unafanyaga uovu ganNitaifunika na karatasi jeusi au niivunje
Na wanawake kwa kujiachia mnajiachia kweliFaragha bro! Chumbani ndo sehemu ya kujiachia muda mwingi unakuwa naked!
Ni hatari bro,huwa najiachia Sana mara nicheze muziki na kyupi,mara naperuzi miguu nimeing'iniza juu halafu niko naked siku watu wakiona si mambo ya aibu hayo??Kwann hapana
Sana!Na wanawake kwa kujiachia mnajiachia kweli
Mbele ya watu siwezi kuvibeKipaji kinapanda ukiwa ndani ila ukiwa mbele za watu kinapotea.
Sasa nitafanya uovu gani wakati ni chunbani kwangu?Kwa sababu unafanyaga uovu gan
ni bora nyeto ila baada ya miaka miwili au mitatu nitakuwa tayari nmetimiza malengo yangu kuliko kuwekeza pesa kwenye mbususu nikaambulia umasikini tuAcheni nyeto zitawaua
Usiongee sana maana ushaanza kunitia genye hapa mkuuNi hatari bro,huwa najiachia Sana mara nicheze muziki na kyupi,mara naperuzi miguu nimeing'iniza juu halafu niko naked siku watu wakiona si mambo ya aibu hayo??
Amini mwananguMimi nitakachoacha ni.kile kinachonifanya niwe mwanachama wa Chaputa chini usimamizi mzuri wa bwana dronedreke
Kuna mambo kama ya dronedrakeKwani kwa ndani si unafunga kwenye corridor /sebuleni /jikoni? Sasa huku kuna vitu gani vya ajabu vinafanyika? Utaogopa endapo labda uwe mdokozi/firauni kubandua maHouse girl etc
Hata ukipiga nyeto bila nidhamu ya pesa na juhudi za kupambania malengo yako ni bure.ni bora nyeto ila baada ya miaka miwili au mitatu nitakuwa tayari nmetimiza malengo yangu kuliko kuwekeza pesa kwenye mbususu nikaambulia umasikini tu
Sasa mbona unaikataa cameraSasa nitafanya uovu gani wakati ni chunbani kwangu?