Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
- #41
Kipaji badala ya kukupa sifa kinakudhalilisha mbele za watu 😂Mbele ya watu siwezi kuvibe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipaji badala ya kukupa sifa kinakudhalilisha mbele za watu 😂Mbele ya watu siwezi kuvibe
Mpunguze kidogoSana!
Ila nyie kutamanishana tuNi hatari bro,huwa najiachia Sana mara nicheze muziki na kyupi,mara naperuzi miguu nimeing'iniza juu halafu niko naked siku watu wakiona si mambo ya aibu hayo??
Unapunguza hadi sautiUnapunguza wizi
Unapunguza umbea
Unapunguza uhuru
Unapunguza kuulizauliza
Unapunguza kuchapiwa sebuleni
Unapunguza... Au basi
Kwa wanaume hiyo kawaida kama unaishi peke yako unawaza niniasubui huwa natembea na boxer tu, kutokea chumbani hadi jikoni😂😂.
Saaaafi kabisa nayo ipate joto kidogoTapunguza kukaa uchi
Hii uongo mkuu, kukoroma hakuepukiki zaidi ya mazoezi.Ntapunguza kukoroma
Namna hiyoSaaaafi kabisa nayo ipate joto kidogo
Hapa wengi sana wataacha hiyo michezo au watatafuta mbadala kama kwenda kufanyia chooni.Mimi nitakachoacha ni.kile kinachonifanya niwe mwanachama wa Chaputa chini usimamizi mzuri wa bwana dronedreke
Nyumba za watu zina mambo sana mkuu, uhuru unafanya watu wafanye vitu vya kushangaza.Kwani kwa ndani si unafunga kwenye corridor /sebuleni /jikoni? Sasa huku kuna vitu gani vya ajabu vinafanyika? Utaogopa endapo labda uwe mdokozi/firauni kubandua maHouse girl etc
Sipendi nionekane nnavyokoromaSasa mbona unaikataa camera
Mie napenda kukaa na boxer na kupiga tukio popote paleTapunguza kukaa uchi
Cctv camera ni nzuri kwa security ila kuna namna inapunguza uhuru.Nitaacha kujamiiana na wife Kwa mitindo anuwai ya kidunia na nitajamiiana naye Kwa style ya kifo Cha mende tu.
CCTV siipendi.
NaamNamna hiyo
Kwa mie hizo sehemu zote nazitumia kupiga game,🤣🤣Kwani kwa ndani si unafunga kwenye corridor /sebuleni /jikoni? Sasa huku kuna vitu gani vya ajabu vinafanyika? Utaogopa endapo labda uwe mdokozi/firauni kubandua maHouse girl etc