Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
-
- #141
Kwenye kona na nje huko ni vizuri ila ndani kila mahali hapana.Ndio maana watu wanaweka kwenye kona za nyumba ili kujua anaetoka na kuingia ndani maybe weka sebuleni but the rest ignore it
Mimi ili swali nimeulizwa leo ila ubusy wangu umenikosesha utelezi πHahahaha we naachaje Sasa wkt nimeulizwa Ijumaa utakua wapi au utakua umebanwa? Hili swali wewe ungejibu vipi ? Nisaidie
π€£π€£π€£Unawakomoa
Ndio yapoje hayo madamMapozi tata
Camera mwisho ziwe nje kwenye lango la kuingiliaNi afadhali kidogo kuliko chumbani ambako mtifuano kati ya mume na mke hupamba moto.
VemaCamera mwisho ziwe nje kwenye lango la kuingilia
Evidence please πKucheza amapiano & singeliπ
Ni kamzozo manka! Kucheza sijui ndo maana nacheza nikiwa mwenyewe room!!!Evidence please π
Hivo hivo nataka nione πNi kamzozo manka! Kucheza sijui ndo maana nacheza nikiwa mwenyewe room!!!
Njoo tar 14 mchana tucheze woteHivo hivo nataka nione π
Hizo ngoma zako siziwezi mimi πNjoo tar 14 mchana tucheze wote
Unapenda zipi niandae playlist mapemaHizo ngoma zako siziwezi mimi π
Bahati Bukuku ππ napenda za malalamikoUnapenda zipi niandae playlist mapema
Hilo limeisha jiandae mapema ntaaanda kabisa cassette tuskilize nyimbo Moja dkk 34Bahati Bukuku ππ napenda za malalamiko
HahahahaMimi ili swali nimeulizwa leo ila ubusy wangu umenikosesha utelezi π
Ngumu sana kupindua ukikumbuka na alivyokuwa akijichanua chanu