Utapunguza kufanya nini endapo CCTV camera itafungwa ndani unapoishi?

Utapunguza kufanya nini endapo CCTV camera itafungwa ndani unapoishi?

Kwa ufupi ni mtam haswa wenye chumvi size kabisa.
Hahahaha,turudi kwenye mada,..hivi ushawahi kupata demu akiwa ndani anakua uchi muda wote? Enzi za ujana nilibahatika kupata Binti anapenda kukaa uchi akiwa ndani basi enzi hizo za chumba master nikimuacha ghetto na ndio kipindi wasap video call inaingia...aisee yule Binti ana makusudi , alikua akipiga video call uje Yuko uchi
 
Hahahaha,turudi kwenye mada,..hivi ushawahi kupata demu akiwa ndani anakua uchi muda wote? Enzi za ujana nilibahatika kupata Binti anapenda kukaa uchi akiwa ndani basi enzi hizo za chumba master nikimuacha ghetto na ndio kipindi wasap video call inaingia...aisee yule Binti ana makusudi , alikua akipiga video call uje Yuko uchi
Ke wengi wanapenda sana kukaa uchi hasa akishakuvulia haoni aibu yeyote.
 
Hahahaha huyo Sasa ni balaa ,Leo hii nikimsikiliza ktk vipindi vyake redioni , siamini kama ni yeye
Faragha inasitiri sana watu na redioni yupo utadhani si yeye aliekuwa anakaa uchi😂

Kuna dada mmoja wa kilokole nae zilikua tabia zake, akifika tu anasaula zote na shepu lake hatari. Nikionaga post zake huwa siachi kuamini nao ni binadam
 
Faragha inasitiri sana watu na redioni yupo utadhani si yeye aliekuwa anakaa uchi😂

Kuna dada mmoja wa kilokole nae zilikua tabia zake, akifika tu anasaula zote na shepu lake hatari. Nikionaga post zake huwa siachi kuamini nao ni binadam
Hahahaha mie huwa nachekaga sana nikimsikilizaga, namtumiaga Hadi SMS namwambiaga siku ukiwa real redioni utapendwa zaidi ya sasa, Maaana najua vitimbwi vyake
 
Back
Top Bottom