Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa taarifa hizi.
Ombi la ziada kama unauzoefu na hii.Je una info yoyote kuhusiana na gharama za uwekaji wa mawe baada ya hatua ya kuwa Ramani ya eneo husika imepitishwa pale Ardhi.
Zina risiti? Manake aridhi napo naona wamejazana watu kibao sijui wanafanya nini kazi utapeli tu, hata kakitu kadogo utasikia sio chini ya laki, na kazi ya siku inaweza chukua miezi au zaidi ya mwaka. Aridhi kwenye Manispaa na Wizarani ni zaidi ya janga la kitaifa!
Umetapika yote yanayotakiwa sina cha kuongeza.
Angalisho jaribu kwenda ofisi za mahakama kwa ajili ya suala la kisheria maana ukienda kwa hawa wanasheria wa kujitegemea wana mkono mrefu kukuchomoa mfukoni.
nami napenda kuuliza,mfano mtu amekushikia hati yako kwa sababu mbalimbali anaweza kwenda kwa kamishina kubadili umiliki wa hati yako kwenda kwake bila wewe kuwepo ?
Nimepewa uwanja na rafiki yangu(kiroho safi
Twataka tubadili jina kuja kwangu,
Nahitaji taarifa/document zipi? Kufuatilia zoezi hili?
Mkuu unalalamika tu,mambo ya ardhi yana misingi yake inayopelekea na kuamua gharama zote za shughuli nzima ya upimaji na ugawaji wa ardhi,jaribu kujifunza vitu sio kutoa lawama moja kwa moja
Ni kweli mkuu walinichomoa buku tano kwa ajili ya mhuri, tatizo na wanasheria nao wa serikali wanajiweka mbali na wananchi kiaina
Mkuu!
Bila shaka umekuja vema kbs!
Lakini Mi ckujuaga kama nyumba haina hati. Nashukuru kwa kutujuza hili
kwn wengine tulikuwa giza bado.