Wana hata huo uwezo wa kujibu hoja Hawa wapumbavuu?Jibuni hoja zake siyo kumshambulia yeye.
Wewe akili huna, una matope kichwani badala ya ubongo hili ndio jibu la kunipa kwa swali nililokuuliza?Nadhani ungemuuliza huyu mzee wako mwanga wakati wa JPM alikuwa wapi? alisema nini kuhusu uchaguzi? ukija na majibu nitakujibu.
Halafu huyu bibi yenu si mwanzoni alijinasibu kwamba atafuta legacies zote mbovu zilizoachwa na mtangulizi wake, ameshindwa nini kufuta huu mfumo mbovu wa uchaguzi?? Kwanini na yeye amefuata utaratibu ule ule wa uchaguzi ambao umekandamiza demokrasia wazi wazi kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wake???Nadhani ungemuuliza huyu mzee wako mwanga wakati wa JPM alikuwa wapi? alisema nini kuhusu uchaguzi? ukija na majibu nitakujibu.
Usilete hadithi hapa yes Mama kajifunza kwa Baba, swali jepesi alikuwa wapi kukemea? si ni yeye aliyeenda hadharani na kumsifu JPM, au alijuwa kile chuma hamchekie ngedereWewe akili huna, una matope kichwani badala ya ubongo hili ndio jibu la kunipa kwa swali nililokuuliza?
Haya, kwa hiyo kwa sababu huu uharamia wa uchaguzi ulifanyika hata kipindi Cha JPM basi ndio hatakiwi kabisa kuongelea kwenye awamu hii ya huyu bibi yenu???
Kwa maana nyingine leo hii mtoto wako akiwa mwizi unaweza usimchukulie hatua yoyote, ukamuacha tu aendelee kuiba kwa sababu tu huko nyuma mjomba yako pia aliwahi kuwa mwizi na hakuna mtu yeyote kwenye ukoo wako aliyethubutu hata kumkemea si ndio????
Hivi reasoning ya namna hii huwa mnaitoa wapi nyie UVCCM???? Mbona akili zenu zimeoza hivi?
Hicho kijizee kinafiki sana.
Huyu mzee ni hazina kwa taifa. Usingekuwa unalamba asali sasa hivi ungejua analitakia mema hili taifa na kurirusha kwenye mstali wa uzalendo.
JIbu swali usijetekenye huyu mzee wako Mwanga hakuwepo? alisema nini? dalili za mnafiki ni hii moja wapo kuwa na sura mbili. Ni wazi chuki za huyu mzee huyu Mama kuwa Rais ndio linamkera mfupa uliomshinda yeye. SWALI ALIKUWA WAPI KUKEMEA, WAKATI LISSU ANAPIGWA ALIKUWA WAPI? WAKATI UCHAGUZI UMEIBIWA ALIKUWA WAPI? jibu huyu ndio tutaendelea. Zee jinga kubwaHalafu huyu bibi yenu si mwanzoni alijinasibu kwamba atafuta legacies zote mbovu zilizoachwa na mtangulizi wake, ameshindwa nini kufuta huu mfumo mbovu wa uchaguzi?? Kwanini na yeye amefuata utaratibu ule ule wa uchaguzi ambao umekandamiza demokrasia wazi wazi kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wake???
Yaani mnakuja na utetezi wa kipuuzi badala ya kujibu hoja? Nyie akili hamna kabisa
Huu mfumo alianzisha Mama? au kaukuta. Kwanini asimtaje aliyeanzisha huu mfumo. Mama ni mwanachama wa CCM, chama kina maslahi yake na hakiwezi kuhatarisha afya ya chama kwa maamuzi ya mtu, Rais mwisho wa siku anatekeleza ilani za chama sio zake. CCM ni dude kubwa sio mtu mmoja.Halafu huyu bibi yenu si mwanzoni alijinasibu kwamba atafuta legacies zote mbovu zilizoachwa na mtangulizi wake, ameshindwa nini kufuta huu mfumo mbovu wa uchaguzi?? Kwanini na yeye amefuata utaratibu ule ule wa uchaguzi ambao umekandamiza demokrasia wazi wazi kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wake???
Yaani mnakuja na utetezi wa kipuuzi badala ya kujibu hoja? Nyie akili hamna kabisa
Huyu ni hazina kwa taifa. Anaongea mustakabali wa taifa kuliko chaguzi zenu.kuwarioba alishindwa ubunge na mzee wasira akiwa waziri mkuu hebu atuache kwanza, kazi kuu ya chama cha siasa ni kushinda uchaguzi na uchaguzi una purukushani zake,
Hawa wazee wangekaa tu kimya kulinda heshima zao kidogo walizo nazo. Wanaamsha tu hasira za vijana bila sababu. Hawa ndo walifanya maamuzi ya hovyo mno enzi zao. Kwa mfano utaifishaji wa mali za watu na kuwatia umaskini. Kule Arusha alikuwepo Mzee Tango tajiri wa enzi hizo alinyang'anywa mali zake na serikali ya wakati huo lakini baada ya kwenda mahakamani alikuwa akilipwa fidia hadi enzi za JK. Umaskini wa kutisha uliopo chanzo kikubwa ni maamuzi ya hovyo yaliyofanywa na kina Warioba.umeeleza ukweli sana comrade
halafu wengi hawajui kwamba mzee wetu huyu ambae tunampenda na tunamuheshimu sana hakua na ushawishi wowote wakati akiwa kiongozi, alikua wakawaida tu kama walivyo wengine, na ndiyo maana alishindwa uchaguzi huko Bunda, tena kwao kabisa mchana kweupe na upinzani.
bila ya hayati Nyerere kumshika mkono,
hapangelikua na mtu anaetangatanga kama alivyo sasa, angekua anasugua gaga tu huko bunda kwao.
halafu pia,
nadahani ana kinyongo na wivu flani moyoni mwake dhidi ya serikali, sasa sijui ni kwasababu wanae na ndugu zake wako nje ya game la siasa za Tanzania ama ni unafiki wake tu...
Kwa kitaalamu ugonjwa huo wa Akili unajulikana kwa jina la “ Intermittent explosive disorder “ 🙏Mtu yeyote anayetanguliza matusi badala ya kujibu/kujielekeza kwenye hoja, ni mgonjwa wa akili. Hata kama yeye atajiona yuko sawa. Na kwa bahati mbaya sana hapa JF wagonjwa wa akili wanazidi kuongezeka. Tunawatambua kutokana na maandishi yao.
6 lukas mwashambwaMaandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.
Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.
Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.
Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.
Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm
Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
Umemsahau kada yupo humu jina lake mwishoni mwashambwa kama sijakoseaMaandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.
Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.
Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.
Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.
Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm
Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
Unataka kusema nini ndugu mwana CCM? Hapa hakuna kusaidiwa na Polisi ujue.ni muhimu zaidi kulinda maslahi ya taifa,
na sio kuendekeza chuki na makasiriko dhidi ya mamalaka za serikali zilizopo kazini kutekeleza wajibu wao kikatiba.
uhasama wa dhuluma za fedha, mali na kumendea wake za watu, yakikutokea puani kwa vitendo huna haja kulaumu taasisi na mamlaka za serikali.
umeiba au kudhulumu cha mtu anaejibu ulichomdhulumu kwa vitendo,
unakuja kumbwelambwela mitandaoni eti ng'we ng'we ng'we, eti sijui amefanyaje huko na watu wasiojulikana, kumbe jitu limefumaniwa. that is useless
BAKWATA, Polisi ,CCM na vyama 14 marafiki hawajaona hitilafu yoyote wamesema.Mbona unaleta utani?
Umjibu nini?
Kulikuwa na hitilafu,kila mtu ameona.
Yeye Jaji Warioba amezungumza kwa sababu yeye ndiye kati ya watu wachache wanaoweza kusema kitu bila kuhofu kupelekwa Coco Beach.
Hata hivyo mimi sijasikia alichosema.
wa kusaidiwa kwa kuombaomba kuchangiwa vitu mbalimbali ni moja tu nchi hii, ambae pia ni kibaraka wa mambwenyenye ya magharibi ..Unataka kusema nini ndugu mwana CCM? Hapa hakuna kusaidiwa na Polisi ujue.
kulinda ugali wao.Dhumuni la ujambazi ni kulinda "nchi" au kuharibu "nji"
Msigwa umemsahau?Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.
Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.
Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.
Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.
Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm
Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
Unatokea Chato au Kizimkazi? Kama hutoki huko basi utakuwa na matatizo makubwa zaidi.wa kusaidiwa kwa kuombaomba kuchangiwa vitu mbalimbali ni moja tu nchi hii, ambae pia ni kibaraka wa mambwenyenye ya magharibi ..
zaidi ya hapo ni porojo na ushirikina mtupu 🐒