Utaratibu wa kufuata ili kuonana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mazungumzo binafsi

Utaratibu wa kufuata ili kuonana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mazungumzo binafsi

Hello JF,

Naombeni mnijuze njia za kumuona Rais,

Kuna jambo nataka tutete [emoji1787] [emoji1787]

I am serious, kama unajua please niambie, sitaki kuwaona mawaziri sijui watendaji. Nimekoma, siamini tena mtu, wewe kama unajua number ama hatua za kufuata please niambie.
Nimeshajua unae enda kumsemelea...[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Russu au jina kingine Living Kiwelu ni adui wa maendeleo yetu Tanzania anafaa akamatwe auliwe, Hata hivyo ningependa uko ana na Rais kwa mambo mengine
Living Kiwelu auliwe....
Are you serious....[emoji848]
Mkuu, ebu sasa utueleze hapa wazi nini kilicho kusibu na Rusu ama muhusika, ilhali kwenye baadhi ya comments niliona mkijinadi kufahamiana na nikama mlisha kutana.
 
Hello JF,

Naombeni mnijuze njia za kumuona Rais,

Kuna jambo nataka tutete 🤣 🤣

I am serious, kama unajua please niambie, sitaki kuwaona mawaziri sijui watendaji. Nimekoma, siamini tena mtu, wewe kama unajua number ama hatua za kufuata please niambie.
Mkuu njia pekee ninayotumia(ga) ni kukaa pembeni ya barabara wakati msafara wake ukipita...ni njia rahisi sana!
 
Back
Top Bottom