Utaratibu wa kugawa chakula usiku wa manane kwenye harusi haufai

Na domo likishaanza kuoza hata ladha ya chakula husikii.

Najitahidi kubugia maji angalau domo likae sawa.
Mimi harusi za usiku zimenishinda kwa sasa siendi kwangu ni mateso ikifika saa sita usiku sitoboi zaidi ya hapo usingizi debe nzima sembuse kusubiria chakula๐Ÿ˜
 
Kwa mara ya kwanza nilikula chakula safi harusini ile last December,kuna harusi nilienda nashangaa baada ya kuonyesha kadi naelekezwa kunawa nikauliza kuna corona?hapanaa ile naingia tu ukumbini naelekezwa moja kwa moja kwenye menu,yaani ratiba zinaendelea huku watu wanagonga menu was amazing...wakinga oyee
 
Kwenye MWENGE umeniangusha sana kiongozi.
 
Labda sherehe zina utofauti......

sio muhudhuriaji wa sherehe sana Ila

Kwa ambazo nimeenda nakuta mtori.... safi, mnaanza na bia kiasi hapo unywaji ndo utakufanya unywe nyingi.....

Huku mambo mengine yanaendelea zinapita nyama choma tuu.... ambapo unaweza kula vinyango hata vitano....

Mnapoa poa mnaenda kwenye menu yenyewe na unakuta kuku, ndz hapo plus beer na mambo mengine

Nikitoka siku inayofuata sili kabisa!!!!!!
 
Uko vizuri mwalimu
 
Kula kwenye harusi na misiba it's a no.

Nachangia harusi ila siendi.

Misiba lazima niende.

Endeleeni kusubiria kuku saa saba it Is as if huwa nyumbani hamli chakula.
 
Kula kwenye harusi na misiba it's a no.

Nachangia harusi ila siendi.

Misiba lazima niende.

Endeleeni kusubiria kuku saa saba it Is as if huwa nyumbani hamli chakula.
Wewe ukiwa na harusi na watu wakuchangie
Siku ya tukio ujikute kwenye ukumbi upo wewe na Bi harusi utajisikiaje?
 
Baada ya kukua ndio nilikuja kumuelewa mother. Hata kama sherehe ipo Kwa baba mkubwa, baba mdogo, jirani nk ni lazima apike nyumbani mle kwanza ndio muende kwenye sherehe.
 
Kula home
 
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Ukigawa saa mbili usiku hakitatosha kwani mtakuwa wengi, hata Mnazimmoja kwenye Maulidi mtindo ni huo, wavumilivu watakula na kushiba.
 
Sio lazima kula. Vinywaji vinatosha ukishachoka unasepa
 

nahisi tulikuwa pamoja, Hiyo harusi ilifanyika golden memory sinza.

December mwanzoni.
 
Ndo maana siendagi kwenye ndoa za watu , yaani ukifika hapo ni kelele , watu kushindana kuvaa na style , chakula kuchelewa kupewa tena wakati mwingine kipimo kinapigwa kibati...

Khaaaa
 
Labda sijapata mtu wa kunielimisha vizuri kuhusu hiyo kitu maana viongozi wangu wote ukiwauliza wanakwambia ni uzalendo hutakiwi kuhoji sana
Kuhoji ni muhimu zaidi
 
Mkila mapema mtaondoka mapema kabla ya maharusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ