Utaratibu wa kuishi na ndugu baada ya ndoa unafaa uwe vipi?

Utaratibu wa kuishi na ndugu baada ya ndoa unafaa uwe vipi?

Habari za siku nyingi watu wa Mungu.

Hivi ni utaratibu gani unafaa kufuatwa katika kuchagua ndugu wa kuishi nao baada ya ndoa. Nakumbuka mwanzo kabisa kipindi namuoa mke wangu nilimjulisha kuwa napenda sana ndugu ila kuishi na ndugu ni mtihani kama mtu ana uhitaji na tuna uwezo wa kumsaidia bora tumsaidie huko huko aliko kukiwa na ulazima sana ndipo ataishi kwetu.

Bahati mbaya huyu mwenzangu na ndugu zake wamefanya nyumba yangu kijiwe ndugu zake wote wapo hapa hapa mjini sasa imekuwa anakuja huyu anakaa wiki anaondoka wanapokezana , likizo watoto zao wanawaleta kwangu na wana vurugu kweli ile likizo ya mwaka mpya walinivunjia side mirror ya gari ikabidi niwafukuze manake walikuwa wakiaanza kukimbizana wanapita mpaka juu ya makochi ilibaki kidogo wakanyage kompyuta niliwafukuza siku hiyo hiyo.

Tatizo la pili kuna ndugu zake hawa watu wazima wakike ambao ni dadazake ni wakubwa kiasi mmoja binti yake ndiyo mwenye watoto niliowafukuza, hawa wanakaa tu nyumbani hawafanyi chochote ni kuangalia tu tamthiliya mpaka kurudi nyumbani sasa naona kero mimi na wife hatujajaliwa watoto sasa hapo nyumbani kuna familia ya watu 4 na wote wanatokea hapo mabibo yaani mimi ndio nimekuwa kama mgeni kwenye familia. nikimuambia hawa watu kwanini wasirudi kwenu kwenye nyumba ya familia wakae sisi tutakaa nao mpaka lini anasema soon wataondoka toka mwezi wa pili anasema hivyo soon wataondoka, karibuni mama anataka kuja kwenye matibabu MOI ila kagoma kufikia kwangu hawezi lala kitanda kimoja na mtu mwingine anashida na mifupa.

hapo bado kuna ndugu zake wanakuja tu wikend wakijisikia na wakiondoka hawana nauli wanakuomba tena shemeji nauli hasa namuuliza hawa nao wanakuja kila wikend kufanya nini , anasema kama sitaki ndugu zake waje atawaambia ila tatizo sio kuja tatizo hata nauli hawana ukiwapa ndogo wanakuimbia kuna sehemu ya kupanda bodaboda. Ajabu wao wenyewe kwa wenyewe hawatembeleani ni kama vile wanaamua kunimalizia pesa hivi.
Nipeni busara kudeal na hawa watu nahisi kuanza kukata mahitaji .
kuagana nchi kavu
 
Wa kuwafukuza hao ni wewe sio mkeo.
Jao ni ndugu wa mke, ni kweli anaweza kuongea nao lakini je kwa unavyomuona mkeo anaweza kuwakanya hao ndgu zake??
Huenda hana sauti kwenye hiyo familia na ww hilo zigo unamtupia na kumlaumu yeye kisa ni ndgu zake yeye.

Ma kwenye jamii zetu hizi ni bora mwanaume ndo ikatoa kauli ya kuwaondoa na sio mwanamke maana atasemwa kila mahali kua ni mchoyo na hata huo ukoo wake huenda ukamtenga kabisa.

Basi uwe unafanya hivi mkuu, mtu akija uwe unamuuliza atakaa kwa muda gani na kaja kwa lengo gani. Hiyo ya kukaa kimya kutegeana nani atamfunga paka kengele hawawezi kuondoka leo hao.

Na hao waliopo waite, wakalishe chini uwaambie kwa uwazi kabisa kua uliwapokea lakini bado hujajua hasa lengo la wao kua pale ni nini, wakupe sababi wanafatilia nini miezi yote hiyo.
Na wanategemea kumaliza lini wanachokifanya hapo town, kama hawana la maana waambie warudi wakasaidie kazi nyumbani.
 
Asee hilo linatakiwa kujulikana mapema kabisa kabla ya kuoana,cha muhimu wapige stop kuja,au kama watakuja na unaunga mkono maoni ya shetani basi ww tafuta mchempuko mpangie chumba wakija ndugu zake ww hamia kwa mchepuko kwa muda na matumizi yako afu mtumie sms "nimewapa nafasi kwanza wakiondoka niambie nirudi"

Bila shaka utakuwa mwisho wao kama mkeo ni mtu wa kujiongeza
Mkuu hili wazo nilikuwa nalo na nilimuambia wife nitapanga chumba sababu nyumba imekuwa ghetto kuna madogo ndugu zake walikuwa wanasubiri matokeo ya chuo basi nyumba ni mziki kwa kwenda mbele mara wameunganisha tv na simu. mara wamegawana zase za kuhifadhia miwani wengine wamechukua notebook za kazini ambazo hazijatumika yaani ni vurugu tupu, hili wazo linafanyiwa kazi.
 
Familia zetu tumezoea kuishi kiujamaa Kama wahindi na waarabu
kuna raha gani ya kuishi mtu na mke tu?
Kama nyumba kubwa acha watu waishi.
Tubadilike mtu akishaoa au akiolewa waacheni waishi maisha yao,watu wameoana tayari mshaenda kujazana kuishi hapo mara bibi,sijui shangazi,sijui shemeji,acheni wanandoa waishi kwa uhuru mnawabana, mara waletewe mtoto sijui wa nani walee ,acheni wanandoa waishi wenyewe kusalimiana iwe mara moja moja na mtoe taarifa sio kwenda tu kama kwenu.
Ndugu mnachangia sana wanandoa kuachana kwa sababu mkishaenda kukaa mnaanza maneno na chokochoko. Watu wakioana waacheni waishi maisha Yao wapeni uhuru,wapeni nafasi.
Kina mama wengi wanavunja ndoa za watoto wao kwa kuingilia na kuanza kuwapangia wanandoa waishi namna gani ,wazae watoto wangapi? Kina mama kuweni busy na maisha yenu maisha ya wanandoa hayawahusu nyie wabarikini inatosha sio kuanza kuchongoa midomo na wivu wivu usio na maana,eti kisa umemzaa kwa uchungu ndio umpangie maisha haitakiwi
Nimegundua ndoa nyingi huvunjika kisa ndugu,kwenda kujirundika kukaa kaa tu kwa watu wameoana
Tubadilike

Dinazarde i see ya"
 
Habari za siku nyingi watu wa Mungu.

Hivi ni utaratibu gani unafaa kufuatwa katika kuchagua ndugu wa kuishi nao baada ya ndoa. Nakumbuka mwanzo kabisa kipindi namuoa mke wangu nilimjulisha kuwa napenda sana ndugu ila kuishi na ndugu ni mtihani kama mtu ana uhitaji na tuna uwezo wa kumsaidia bora tumsaidie huko huko aliko kukiwa na ulazima sana ndipo ataishi kwetu.

Bahati mbaya huyu mwenzangu na ndugu zake wamefanya nyumba yangu kijiwe ndugu zake wote wapo hapa hapa mjini sasa imekuwa anakuja huyu anakaa wiki anaondoka wanapokezana , likizo watoto zao wanawaleta kwangu na wana vurugu kweli ile likizo ya mwaka mpya walinivunjia side mirror ya gari ikabidi niwafukuze manake walikuwa wakiaanza kukimbizana wanapita mpaka juu ya makochi ilibaki kidogo wakanyage kompyuta niliwafukuza siku hiyo hiyo.

Tatizo la pili kuna ndugu zake hawa watu wazima wakike ambao ni dadazake ni wakubwa kiasi mmoja binti yake ndiyo mwenye watoto niliowafukuza, hawa wanakaa tu nyumbani hawafanyi chochote ni kuangalia tu tamthiliya mpaka kurudi nyumbani sasa naona kero mimi na wife hatujajaliwa watoto sasa hapo nyumbani kuna familia ya watu 4 na wote wanatokea hapo mabibo yaani mimi ndio nimekuwa kama mgeni kwenye familia.

Nikimuambia hawa watu kwanini wasirudi kwenu kwenye nyumba ya familia wakae sisi tutakaa nao mpaka lini anasema soon wataondoka toka mwezi wa pili anasema hivyo soon wataondoka, karibuni mama anataka kuja kwenye matibabu MOI ila kagoma kufikia kwangu hawezi lala kitanda kimoja na mtu mwingine anashida na mifupa.

hapo bado kuna ndugu zake wanakuja tu wikend wakijisikia na wakiondoka hawana nauli wanakuomba tena shemeji nauli hasa namuuliza hawa nao wanakuja kila wikend kufanya nini, anasema kama sitaki ndugu zake waje atawaambia ila tatizo sio kuja tatizo hata nauli hawana ukiwapa ndogo wanakuimbia kuna sehemu ya kupanda bodaboda.

Ajabu wao wenyewe kwa wenyewe hawatembeleani ni kama vile wanaamua kunimalizia pesa hivi. Nipeni busara kudeal na hawa watu nahisi kuanza kukata mahitaji.
kukaa na watu ni baraka pia hudumia chakula tu wale washibe,mambo mengne muachie MUNGU.
 
Tatizo unawaonyesha dalili zote za utajiri kwamba una pesa nyingi. Punguza kipato chako wa kwanza kufahamu awe mkeo ajue pesa zimekata
sema wananiona mpole kuna kaka zao kabisa wako vizuri kipesa lakini kwao hawakanyagi, ila kwangu kila wikend nilishaanza wabania pesa wanakuja kwa machale, shida hawa wamama hapa nyumbani mtu ana 47 ana watoto watatu, mtoto wake wa kwanza kaolewa ila hajawhi enda ishi na mkwe wake ila hapa kwa mdogowake ndio amefanya kwake.
 
Kula msosi juu kwa juu hao ndo wanamseti mkeo awe anakujibu soon wataondoka kwani wanamsaidia kuloga ......wanapiga deki asb namaji wewe unajua maji .......

Lapili namuhimu tafuta mtu wakuzaa nae yeye akileta ndg zako wewe unahamia kwamwanao ulikomzalia
 
Habari za siku nyingi watu wa Mungu.

Hivi ni utaratibu gani unafaa kufuatwa katika kuchagua ndugu wa kuishi nao baada ya ndoa. Nakumbuka mwanzo kabisa kipindi namuoa mke wangu nilimjulisha kuwa napenda sana ndugu ila kuishi na ndugu ni mtihani kama mtu ana uhitaji na tuna uwezo wa kumsaidia bora tumsaidie huko huko aliko kukiwa na ulazima sana ndipo ataishi kwetu.

Bahati mbaya huyu mwenzangu na ndugu zake wamefanya nyumba yangu kijiwe ndugu zake wote wapo hapa hapa mjini sasa imekuwa anakuja huyu anakaa wiki anaondoka wanapokezana , likizo watoto zao wanawaleta kwangu na wana vurugu kweli ile likizo ya mwaka mpya walinivunjia side mirror ya gari ikabidi niwafukuze manake walikuwa wakiaanza kukimbizana wanapita mpaka juu ya makochi ilibaki kidogo wakanyage kompyuta niliwafukuza siku hiyo hiyo.

Tatizo la pili kuna ndugu zake hawa watu wazima wakike ambao ni dadazake ni wakubwa kiasi mmoja binti yake ndiyo mwenye watoto niliowafukuza, hawa wanakaa tu nyumbani hawafanyi chochote ni kuangalia tu tamthiliya mpaka kurudi nyumbani sasa naona kero mimi na wife hatujajaliwa watoto sasa hapo nyumbani kuna familia ya watu 4 na wote wanatokea hapo mabibo yaani mimi ndio nimekuwa kama mgeni kwenye familia.

Nikimuambia hawa watu kwanini wasirudi kwenu kwenye nyumba ya familia wakae sisi tutakaa nao mpaka lini anasema soon wataondoka toka mwezi wa pili anasema hivyo soon wataondoka, karibuni mama anataka kuja kwenye matibabu MOI ila kagoma kufikia kwangu hawezi lala kitanda kimoja na mtu mwingine anashida na mifupa.

hapo bado kuna ndugu zake wanakuja tu wikend wakijisikia na wakiondoka hawana nauli wanakuomba tena shemeji nauli hasa namuuliza hawa nao wanakuja kila wikend kufanya nini, anasema kama sitaki ndugu zake waje atawaambia ila tatizo sio kuja tatizo hata nauli hawana ukiwapa ndogo wanakuimbia kuna sehemu ya kupanda bodaboda.

Ajabu wao wenyewe kwa wenyewe hawatembeleani ni kama vile wanaamua kunimalizia pesa hivi. Nipeni busara kudeal na hawa watu nahisi kuanza kukata mahitaji.

[emoji23][emoji23][emoji23] ningekua mm ndo wewe kwanza ningehamia sehemu ambayo ni mbali wao kufika kwa maelezo yako ni unakaa mjini kabisaa hamia hata huko mbezi au boko huko ambako nauli tu mtu hadi ajifikirie kuja. Ukiona hiyo haifanyi kazi punguza bajeti ya msosi hapo home, kama ulikua unaacha 10k anza kuacha 5k king'amuzi usinunue uone wanakuja kufanya nn huko hata hizo likizo waambie waende huko kijijini kwao yani wanakufanya wewe chuma ulete kwa staili hiyo utachelewa sana kufanya maendeleao inahitaji mtu mwenye roho ngumu kuwafukuza ndugu zake nyumban kwake mana apo akiwaambi kuwa huwataki watakuona wewe ndo mbaya[emoji23] ko tumia ule msemo wa akufukuzaye akwambii toka tumia tuu mbinu mbadalaa watapungua wenyew

Ndugu wasaidie ila kwa mbali na huruma ikizi inazaa dhambi[emoji3061]
 
Mkuu hili wazo nilikuwa nalo na nilimuambia wife nitapanga chumba sababu nyumba imekuwa ghetto kuna madogo ndugu zake walikuwa wanasubiri matokeo ya chuo basi nyumba ni mziki kwa kwenda mbele mara wameunganisha tv na simu. mara wamegawana zase za kuhifadhia miwani wengine wamechukua notebook za kazini ambazo hazijatumika yaani ni vurugu tupu, hili wazo linafanyiwa kazi.
Sasa mkuu nyumba yako halafu unataka utoke ukapange "chumba" eti kisa unawakimbia ndugu!

Mbona haiingii akilini. Kuwa na maamuzi boss.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Punguza upole mkuu. Wanakudharau sana hao. Hata ndugu yao hajakuletea mtoto tayari wanajiamini hivyo akipata mtoto si utateseka mara tano yake.
sema wananiona mpole kuna kaka zao kabisa wako vizuri kipesa lakini kwao hawakanyagi, ila kwangu kila wikend nilishaanza wabania pesa wanakuja kwa machale, shida hawa wamama hapa nyumbani mtu ana 47 ana watoto watatu, mtoto wake wa kwanza kaolewa ila hajawhi enda ishi na mkwe wake ila hapa kwa mdogowake ndio amefanya kwake.
 
Ambao hawakumuelewa Dinazarde kwenye uzi wake,,,,Basi hiki ndicho Hasa alichokuwa anakizungumza...

Na nawaomba mtumie kisa cha Mleta uzi kama mfano wa kufundishia

 
Familia zetu tumezoea kuishi kiujamaa Kama wahindi na waarabu
kuna raha gani ya kuishi mtu na mke tu?
Kama nyumba kubwa acha watu waishi.
Mazoea hujenga tabia na suala la ugumu wa maisha linachangia kutowakaribisha waje kukaa aisee, acha nionekane mchoyo na bahili
 
Ilibidi uwaulize toka siku ya kwanza wamekuja kufanya nini na watakaa muda gani?
 
Back
Top Bottom