[emoji23][emoji23][emoji23] ningekua mm ndo wewe kwanza ningehamia sehemu ambayo ni mbali wao kufika kwa maelezo yako ni unakaa mjini kabisaa hamia hata huko mbezi au boko huko ambako nauli tu mtu hadi ajifikirie kuja. Ukiona hiyo haifanyi kazi punguza bajeti ya msosi hapo home, kama ulikua unaacha 10k anza kuacha 5k king'amuzi usinunue uone wanakuja kufanya nn huko hata hizo likizo waambie waende huko kijijini kwao yani wanakufanya wewe chuma ulete kwa staili hiyo utachelewa sana kufanya maendeleao inahitaji mtu mwenye roho ngumu kuwafukuza ndugu zake nyumban kwake mana apo akiwaambi kuwa huwataki watakuona wewe ndo mbaya[emoji23] ko tumia ule msemo wa akufukuzaye akwambii toka tumia tuu mbinu mbadalaa watapungua wenyew
Ndugu wasaidie ila kwa mbali na huruma ikizi inazaa dhambi[emoji3061]