π€£π€£π€£Ukoo una laana haoMkuiu nilifanya hivyo mimi hapa nyumbani kuweka bustani nikaweka na kuku hawa sasso , mbona nilipata hasara sababu wanaona uvivu kulisha chakula badi wanafanya kujaza tu kwenye vyombo bustan haimwagiliwi na mpira nimewanunulia kila wiki wanapanda upya mboga zikiota zinakauka kiufupi ni watu wavivu mimi sio mkabila ila hawa ndugu wanatokea kanda ya kati hapo sisemi wote kanda hiyo wapo hivyo.
Nakuambia tabu sanaAmbao hawakumuelewa Dinazarde kwenye uzi wake,,,,Basi hiki ndicho Hasa alichokuwa anakizungumza...
Na nawaomba mtumie kisa cha Mleta uzi kama mfano wa kufundishia
Asilimia kubwa ndugu huvunja ndoa za ndugu zao
Tubadilike mtu akishaoa au akiolewa waacheni waishi maisha yao,watu wameoana tayari mshaenda kujazana kuishi hapo mara bibi,sijui shangazi, sijui shemeji, acheni wanandoa waishi kwa uhuru mnawabana, mara waletewe mtoto sijui wa nani walee, acheni wanandoa waishi wenyewe kusalimiana iwe mara moja...www.jamiiforums.com
Wazo zuri sanaKaka yangu alifanya hivi...
Ndugu wakija nyumban kwake kukaa basi ni ndugu wenye faida haijalishi anatoka upande gani hakuwahi kutaka ujinga kabisa na anaishi vizuri mpaka leo kikubwa msimamo tu.
imagine
Ana kila kitu nyumban kaz nzuri, mshahara mnono alichofanya alianza kilimo cha mpunga bondeni kama mnavyojua kaz za mpunga haziishi mwezi wowote ni kazkaz tu kwahyo ndugu wakienda kwake anawasombelea wote kwenda shamban kumsaidia kaz huko maana yye yuko bize ni kutoa maelekezo tu. Walikuwa wakienda kwake ni trip moja tu hawarud tena wanalalamika tu afu maisha frsh tu
Mbona familia yetu masikin na hatuna tabia yakwenda majumbani Kwa watu tokea wadogo tulilizika na maisha ya home kipatikane chakula kisipatikane hatukuwai kuwaza kwenda kuishi Kwa nduguSidhani! Labda ungesema Wajaluo,Wagogo,Wasambaa ningekuelewa! Lakini changamoto ni kuoa ukoo maskini.
Mkuu unayoongea unaweza kuyatenda? hisije ikawa maneno Tu.Kwa kifupi hata kama unaswali au ni mlokole unatakiwa kufukuza wote ubaki wewe na mke wako tu! Wawe ni ndugu zako au ni ndugu za mkeo fukuza.
Wakikataa nenda kwa mjumbe wa shina ukashitaki!
Mkuu vumilia mbona kawaida au wewe hujawai kupitia hayo Maisha? Tatizo umri husiwachukie wapo kwenye mapitoMkuu hili wazo nilikuwa nalo na nilimuambia wife nitapanga chumba sababu nyumba imekuwa ghetto kuna madogo ndugu zake walikuwa wanasubiri matokeo ya chuo basi nyumba ni mziki kwa kwenda mbele mara wameunganisha tv na simu. mara wamegawana zase za kuhifadhia miwani wengine wamechukua notebook za kazini ambazo hazijatumika yaani ni vurugu tupu, hili wazo linafanyiwa kazi.
Hali ilikuwa hivi kwetu wakati tunakaa Singida mjini. Ukoo mzima wa mama wakitoka Iramba, kwetu ndio palikuwa guest house yao.Habari za siku nyingi watu wa Mungu.
Hivi ni utaratibu gani unafaa kufuatwa katika kuchagua ndugu wa kuishi nao baada ya ndoa. Nakumbuka mwanzo kabisa kipindi namuoa mke wangu nilimjulisha kuwa napenda sana ndugu ila kuishi na ndugu ni mtihani kama mtu ana uhitaji na tuna uwezo wa kumsaidia bora tumsaidie huko huko aliko kukiwa na ulazima sana ndipo ataishi kwetu.
Bahati mbaya huyu mwenzangu na ndugu zake wamefanya nyumba yangu kijiwe ndugu zake wote wapo hapa hapa mjini sasa imekuwa anakuja huyu anakaa wiki anaondoka wanapokezana , likizo watoto zao wanawaleta kwangu na wana vurugu kweli ile likizo ya mwaka mpya walinivunjia side mirror ya gari ikabidi niwafukuze manake walikuwa wakiaanza kukimbizana wanapita mpaka juu ya makochi ilibaki kidogo wakanyage kompyuta niliwafukuza siku hiyo hiyo.
Tatizo la pili kuna ndugu zake hawa watu wazima wakike ambao ni dadazake ni wakubwa kiasi mmoja binti yake ndiyo mwenye watoto niliowafukuza, hawa wanakaa tu nyumbani hawafanyi chochote ni kuangalia tu tamthiliya mpaka kurudi nyumbani sasa naona kero mimi na wife hatujajaliwa watoto sasa hapo nyumbani kuna familia ya watu 4 na wote wanatokea hapo mabibo yaani mimi ndio nimekuwa kama mgeni kwenye familia.
Nikimuambia hawa watu kwanini wasirudi kwenu kwenye nyumba ya familia wakae sisi tutakaa nao mpaka lini anasema soon wataondoka toka mwezi wa pili anasema hivyo soon wataondoka, karibuni mama anataka kuja kwenye matibabu MOI ila kagoma kufikia kwangu hawezi lala kitanda kimoja na mtu mwingine anashida na mifupa.
hapo bado kuna ndugu zake wanakuja tu wikend wakijisikia na wakiondoka hawana nauli wanakuomba tena shemeji nauli hasa namuuliza hawa nao wanakuja kila wikend kufanya nini, anasema kama sitaki ndugu zake waje atawaambia ila tatizo sio kuja tatizo hata nauli hawana ukiwapa ndogo wanakuimbia kuna sehemu ya kupanda bodaboda.
Ajabu wao wenyewe kwa wenyewe hawatembeleani ni kama vile wanaamua kunimalizia pesa hivi. Nipeni busara kudeal na hawa watu nahisi kuanza kukata mahitaji.
Tatizo hukuweka mkazo mkuu brother alikuwa mbogo sio mchezoMkuiu nilifanya hivyo mimi hapa nyumbani kuweka bustani nikaweka na kuku hawa sasso , mbona nilipata hasara sababu wanaona uvivu kulisha chakula badi wanafanya kujaza tu kwenye vyombo bustan haimwagiliwi na mpira nimewanunulia kila wiki wanapanda upya mboga zikiota zinakauka kiufupi ni watu wavivu mimi sio mkabila ila hawa ndugu wanatokea kanda ya kati hapo sisemi wote kanda hiyo wapo hivyo.
Usisahau na Pemba Ndugu yangu katika hiyo listKama hawatoki Kigoma basi ni Tanga
Na kwakuongezea kama amepanga atafute nyumba ndogo tuuu yenye chumba seble choo na jiko baaas hao wageni wakose pakulalaMkuu kama huna mtoto hapo Anza kufanya hivi ,acha kununua vyakula hapo nyumbani ,acha kulipia king'amuzi ,wakija usiwe na stori nao kabisa wapite kama huwaoni ,wakija nyumbani unaawapotezea na kuendelea na Mambo mengine ,muoneshe mkeo kwa ukali kuwa hutaki Kijiji cha watu hapo kwako ,,,,,badae wenyewe wataondoka tu ....
[emoji119][emoji16][emoji16][emoji16]Kama hawatoki Kigoma basi ni Tanga