Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizo mila na desturi ni ngonjera tu labda kama huyo mdogo mtu ana miaka 24 ila kama dogo yuko 29 nadhani wazee wangeharakisha sana zoezi.
Hio familia nina mashaka watakuwa watu wa Mbeya hao akina nyonyoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio kwa misimamo hio ya familia nzima. Kitu akiongea dada hata kama upuuzi wadogo wote mnasikiliza.
Binafsi nitamsubiri dada aolewe
Nitatangulia pale tu atakaponiambia hana mpango wa kuolewa.
Na hapa nilishaanza kumuuliza anaolewa lini ili nichange karata zangu vizuri.