Ulikuwa hujafikiria, bila shaka kwa sasa umeshafikiria; au sio?!Hahaha
Haujamuhukumu mkuu.
Sema Mimi mwenyewe nilikuwa sijafikiria mambo ya kuolewa,ni vile tu alikuwa anajihami[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuwa hujafikiria, bila shaka kwa sasa umeshafikiria; au sio?!Hahaha
Haujamuhukumu mkuu.
Sema Mimi mwenyewe nilikuwa sijafikiria mambo ya kuolewa,ni vile tu alikuwa anajihami[emoji1787]
Amen[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duh! Huko kwenu Anne, ni kutamu kweli kweli... au labda niseme hapo kale kabla hawajaanza kutawanyika, kulikuwa kutamu kweli kweli!!!
Na kwa mamlaka ya kiroho (hata kama sina upako) niliyonayo, chige mimi nasema kwamba "Dada yako anafunga ndoa mwakani kati ya Septermber to November"! Sema "Ameeeeeen"!
Kwa sasa mawazo kidogo yananijia maana nimesettle kidogo japo nipo jobless ila stress za shule zimepunguaUlikuwa hujafikiria, bila shaka kwa sasa umeshafikiria; au sio?!
Hahaha
Haujamuhukumu mkuu.
Sema Mimi mwenyewe nilikuwa sijafikiria mambo ya kuolewa,ni vile tu alikuwa anajihami[emoji1787]
Mnh! Labda kwavile Kiswahili sikijui vizuri ndo maana hiyo sentensi kwenye RED naona imejaa ukakasi!!!Amen[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila kuna sehemu alishawahi kuvuruga
Mungu amrehemu.
Huwa ananiomba nimuombee
Dada yangu wa 1 aliondoka zaidi ya miaka 20 iliyopita
Wa2 na 3 walifuatana,2009,2010
Yeye sasa[emoji16] tupo tunaangaliana tu hapa nyumbani
Mwache dada aolewe huko, nawe endelea kuwa house girl hapo home!!! Dadako namuombea, lakini wewe sikuombei NG'O!!! Kwa muda naachana na huduma za kiroho zilizokosa upako kwa ajili ya Baba na Mama Anne!!Kwa sasa mawazo kidogo yananijia maana nimesettle kidogo japo nipo jobless ila stress za shule zimepungua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuishi bongo kazi kwel kwel
Umepatia tu mkuu kuhusu wazaziMnh! Labda kwavile Kiswahili sikijui vizuri ndo maana hiyo sentensi kwenye RED naona imejaa ukakasi!!!
Mimi na wewe, tuseme "Mungu amfanyie wepesi na amuongoze ili asilivuruge tena"!
Lakini kwa upande mwingine, kama dada mkubwa alifungasha virago zaidi ya miaka 20 iliyopita, inaelekea wazazi wapo kwenye 60's labda kama aliolewa mapema kupindukia... mapema in terms of umri!!
Na kama nipo sahihi kuhusu wazazi, basi wewe achana na kiherehere cha kuwa kwenye ndoa... anayestahili hapo ni #4, wewe baki kuwasongea ugali wazee!!!
Sasa muondoke wote ili iweje?! Hii ndo changamoto ya familia ikijaa watoto wa kike... mwanzoni mna-enjoy lakini mwishoni nyumba inabaki mahame!!
Na hivi wanaume wa Kiafrika hatupendi (including myself) HATUTAKI hata kusikia kuishi upande wa wife, basi ni taabu tupu!!
Halafu itakuwa unadeka wew, aaaaaargh!! Kuoa nyie last born ni taabu tupu!!! Nilikuwa na last born mmoja, yaani wakati mwingine ananuna bila sababu za msingi eti ili aone kama nitambembeleza; khaaa!!!
Hakuna Cha bure duniani hapa[emoji23][emoji23][emoji23]Mwache dada aolewe huko, nawe endelea kuwa house girl hapo home!!! Dadako namuombea, lakini wewe sikuombei NG'O!!! Kwa muda naachana na huduma za kiroho zilizokosa upako kwa ajili ya Baba na Mama Anne!!
I hope Baba Anne akiiona hii post, anaweza kunipa binti yake mmoja bila ya mahari!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]msng kwel ww[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa uko wakafanye nini!
Oh jmn embu nipe no zake nimuoe mim mana nimechoka na ukiwa huuMimi siwezi kumkataza mdogo wangu kufunga ndoa ila yeye mwenyewe anapaswa ajiongeze,avute japo kamuda ili nitoke kwanza (hii ni kama nina dalili za kuolewa)
Kama alishamleta mtu nyumbani basi sina budi kukubali japo najua wazazi watajisikia vibaya kwa Sababu yangu na Mimi mwenyewe nitajisikia unyonge.
Nikijizungumzia binafsi,Mimi ni mtoto wa mwisho kwetu.
Juzi tu dada yangu amenitamkia kwamba mdogo wangu ukipata mchumba olewa ila jua utakuwa umenivua nguo Mimi dada yako.Nimepishana naye miaka 9.
Kauli yake hii ilinifanya nitafakari.
Kiukweli kabisa na kijamii kuhusu ndoa nimeshuhudia mkubwa akianza kuoa na mdogo anafata sasa kimekuwa ka kisheria kisicho rasmi kijamii, tena ka mwanaume wazazi wata pressurize mpaka itokee, but to me mdogo wangu akipata mwenza namuruhusu tu aolewe kwa kweli maana watu tumetofautiana vipaumbele vya maisha na mie mfano kwangu marriage sio kiupaumbele kwangu, kiupaumbele Ni malengo yangu makubwa yatimie kwanza, so kutomruhusu my young sister sio fair, Ila mfano nikianza Mimi it's like nimefungua mlango kwa wanaofataLakini hapa JF, na sehemu nyingine nyingi tu nimepata kusikia watu wakisema "Ndoa upangwa na Mungu!"
Na pia nimepata kusikia sehemu nyingi, na kwa mambo mbali mbali watu wakisema "Mungu humpa amtakae, na kumnyima amtakae"!
Am not sure with of the above arguments lakini cariha hapo kazungumzia issue ya Raheli huku Saint Anne, your user ID says it all! I mean, you're probably some kind of religious guys, na kama ndivyo si ajabu mnakubaliana na hizo arguments hapo juu!!
Now tusema cariha ni mdogo kwa Saint Anne lakini arguments zote mbili hapo juu zinam-favor cariha over Saint Anne, and thanks God, wazazi wenu wamewapa mamlaka ya kuamua mambo yenu!
My first question to y'all: Je, mnakubaliana na hizo arguments 2 hapo juu?
2. Je, Saint Anne utamkataza mdogo wako cariha kuolewa kwa sababu tu wewe bado network haisomi?!
3. Nawe cariha, pamoja na upendo wako wote kwa mchumba wako ambae unamuona he's everything kwako, utagoma kufunga nae ndoa kwa sababu dada yako Saint Anne argument ya kwanza na ya pili hapo juu hazijatimia kwa upande wake?!
Karibuni tafadhali mtu na dadake!!!
Haugawii bure bhana... "unagawiwa" at the expense of parents' happiness, na furaha yako mwenyewe!!Hakuna Cha bure duniani hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
Tena mimi macho yatakavyokuwa yanniangalia[emoji2960][emoji847] aisee siku hiyo hadi mbingu zitashangilia halafu nigawiwe bure!?!!!Never[emoji1787]
Nakubaliana na wewe kwamba ikitokea JUST BY CHANCE kwamba mkubwa ameanza, inakuwa vizuri zaidi lakini kwangu binafsi, I don't care who come first and who come last kwa sababu kama ulivyosema, wengine ndoa sio kipaumbele, at least kwa wakati fulani!Kiukweli kabisa na kijamii kuhusu ndoa nimeshuhudia mkubwa akianza kuoa na mdogo anafata sasa kimekuwa ka kisheria kisicho rasmi kijamii, tena ka mwanaume wazazi wata pressurize mpaka itokee, but to me mdogo wangu akipata mwenza namuruhusu tu aolewe kwa kweli maana watu tumetofautiana vipaumbele vya maisha na mie mfano kwangu marriage sio kiupaumbele kwangu, kiupaumbele Ni malengo yangu makubwa yatimie kwanza, so kutomruhusu my young sister sio fair, Ila mfano nikianza Mimi it's like nimefungua mlango kwa wanaofata