nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
Ndio maana miaka ya nyuma angalau Wakulla kadhaa waliegesha ndege zao kwenye mashamba yao.Huwezi kuipaki nyumbani kwako inapaki airport labda iwe helcopter, hapa kuna parking fee, huwezi kuruka bila ruhusa na unalipia ukirusha, hiwezi kutua bila ruhisa na unalipia ukitua. Inshort usumbufu tuou