Utaratibu wa kuwa na mtoto bila mama yake

Utaratibu wa kuwa na mtoto bila mama yake

Yofav

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2021
Posts
4,236
Reaction score
7,583
Wagwan,

Chap kwenye point,

Ni hivi nimekaa nikajitafakari na aina ya maisha ninayohitaji kuja kuyaishi maana sijioni kabisa nikija kuishi na mwanamke nyumba moja.

Though kwa sasa muda unaruhusu bado nataka niweke kwenye mipango yangu ya baadae maana kuoa sio choice yangu kabisa kuja kuishi tena na mwanamke, ila kuhusu kuwa na mtoto siwezi kukwepa maana pia nahitaji kuja kuwa na mtoto kwa hapo baadae.

Sipokei maoni wala mapendekezo ila nahitaji tu majibu je, inawezekana kwa njia ya kupandikiza yaani mfano nikija kuhitaji mtoto kwa kuwa sitaki kujuana wala mahusiano na mwanamke inawezekana kumpa mwanamke mimba baada ya kuzaa nikampa chake (nikamlipa) akachapa mwendo nikabaki na mtoto/watoto wangu? then tusijuane na wala huyu mwanamke asipate access ya kuwajua au kuwa karibu na wanangu baada?

I need only Yes/No and how⬇️
 
Unatupangia namna ya kukujibu 😀😀

Sikia wapo watu wanaofanya hizo kazi ila uwe na hela ya kumuhudumia kipindi cha kutafuta huyo mtoto, kipindi cha mimba na hela ya kumlipa pia kama huwezi nenda muhimbili kawaulize kama wanapandikiza

Vinginevyo baki na mbegu zako tu
 
Unatupangia namna ya kukujibu 😀😀

Sikia wapo watu wanaofanya hizo kazi ila uwe na hela ya kumuhudumia kipindi cha kutafuta huyo mtoto, kipindi cha mimba na hela ya kumlipa pia kama huwezi nenda muhimbili kawaulize kama wanapandikiza

Vinginevyo baki na mbegu zako tu
Hela sio issue, nimelenga kuwa sitaki kuishi na huyo atakaenizalia na after pia tusijuane.
 
Wagwan,
Chap kwenye point,
Ni hivi nimekaa nikajitafakari na aina ya maisha ninayohitaji kuja kuyaishi maana sijioni kabisa nikija kuishi na mwanamke nyumba moja.

Though kwa sasa muda unaruhusu bado nataka niweke kwenye mipango yangu ya baadae maana kuoa sio choice yangu kabisa kuja kuishi tena na mwanamke, ila kuhusu kuwa na mtoto siwezi kukwepa maana pia nahitaji kuja kuwa na mtoto kwa hapo baadae.

Sipokei maoni wala mapendekezo ila nahitaji tu majibu je, inawezekana kwa njia ya kupandikiza yaani mfano nikija kuhitaji mtoto kwa kuwa sitaki kujuana wala mahusiano na mwanamke inawezekana kumpa mwanamke mimba baada ya kuzaa nikampa chake (nikamlipa) akachapa mwendo nikabaki na mtoto/watoto wangu? then tusijuane na wala huyu mwanamke asipate access ya kuwajua au kuwa karibu na wanangu baada?

I need only Yes/No and how⬇️
Sipokei maoni wala mapendekezo.
Biashara kichaa wanaweza wachache.
 
Sipokei maoni wala mapendekezo.
Biashara kichaa wanaweza wachache.
biashara kichaa how!!!? me nimeuliza kama inawezekana sasa maoni na mapendekezo ya nini? nataka majibu tu.
 
Ooh, kumbe ndoa ni utapeli pia!!!? Me sikuwa na tatizo na ndoa ilanmimivtu binafsi nafeel nikiwa single ni unyama.
Your welcome...
Ni unyama sana kuwa single ndo inavotakiwa hivo..
Watoto wapo wa kutosha andaa hiyo 20m then unaongea nae hapo chap kwa..
 
Back
Top Bottom