Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ye mwenyewe kwa haya mawazo ana laana.endelea kupiga usingizi mchana huu. Ati unaangalia pia akili na muonekano usijepata watoto wenye laana - muumbe mwenyewe basi umfanyie na gene editing uondoe tabia zote usizozipenda.
Umemaliza kabisa mkuu, Fact.Dunia iliyojaa ubinafsi si shangai sana kwa haya yanayo tokea.
Japo dada zangu wengu ni wabinafsi na wamejaa tamaa,ila kiasili wanaume hatukuumbwa hivyo ubinafsi sio asili yetu, sisi ni walezi,walishi na ni wabeba majukumu ya kifamilia hiyo ndio asili yetu japo siku hizi kama tunataka kuikimbia.
Unaweza kuwa rijali Upindeusinipangie bob jinsi ya kuishi, kama mtoto ana ulazima na mama basi hata mama yangu yupo, bibi pia yupo na kama unahisi nina tatizo labda la urijali kutokana na point yako basi njoo upime
Umepanick!Acha shobo kulinda urijali wako mkuu.
,,,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28]Daaah , mkuu wewe ni noma sijui umewaza ni mpaka kuanzisha hii kampeni!!![emoji23][emoji23][emoji23] Hua inanitafakarisha sana.Ndoa ni Ujinga
Ndoa ni Utapeli wa Kupigwa Vita
Kataa Ndoa
Saaaana asikwambie mtu, mwenyewe hapa wanawake sijui mahusiano nshafuta kwenye equations za maisha yangu.!Ooh, kumbe ndoa ni utapeli pia!!!? Me sikuwa na tatizo na ndoa ila ni mimi tu binafsi nafeel nikiwa single ni unyama.