Utaratibu wa kuwa na mtoto bila mama yake

Utaratibu wa kuwa na mtoto bila mama yake

HUKU MBONA NILISIKIA WATU NI WAELEWA LAKINI NAKUWA DISAPPOINTED HIVI, NIMEANDIKA KABISA "SIPOKEI USHAURI" NATAKA TU JIBU LA "YES/NO AND HOW" ILA MOST OF YOU MNANILETEA UJUAJI.
 
Njia sahihi chukua watoto wa kuadopt nenda vituo vya watoto utachagua umpendae, angali Mdogo atajua wewe ni baba yake.
Lakini kibongo sidhani kama ni rahisi labda uzae hovyo
 
Tatizo waafrika wanakariri kila kitu,Mtoa mada amependekeza kuwa hataki ushauri muambie inawezekana au laa mnaanza bruh bruh

Mbona wapo watoto wengi amezaliwa na mzazi mmoja na hakuna shida,

Je kama mama yake alifia labour hao nao hawazulumiwi nafsi?

Kama wale wanaotupa watoto chooni nao vipi?

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Mwanamke asiye na laana ni yule smart ambae nae sidhani kama atalikubali hili. Azae tu asepe
 
Tatizo waafrika wanakariri kila kitu,Mtoa mada amependekeza kuwa hataki ushauri muambie inawezekana au laa mnaanza bruh bruh

Mbona wapo watoto wengi amezaliwa na mzazi mmoja na hakuna shida,

Je kama mama yake alifia labour hao nao hawazulumiwi nafsi?

Kama wale wanaotupa watoto chooni nao vipi?

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Ye anataka damu yake pili mwanamke awe smart.
Hapa ndio mtihani.
 
Endelea kutangaza day magazetini humu wachache upita
humu sitafuti mwanamke wa kufanya hivyo, bali nilikuwa nataka kujua kama inawezekana na nimeshathibitisha kwamba inawezekana kwahiyo najiandaa na hilo.
 
Hii biashara ipo na jibu ni ndio, kwa bongo sijaskia ila huko kwa wenzetu inawezekana utahudumia mjamzito miez tisa akijufungua unamlipa cha kama mlivyokubaliana ila hamna direct intercourse ni kupandikiza, na unaweza kuchagua yai la mwanamke kama vile sperm donor banks wanavyofanya.
Mikataba ipo hamn kusumbuana
 
okay sawa, kwahiyo kuwa na mtoto bila mama yake inawezekana au haiwezekani?
HAIWEZEKANI ndo mana hata kisheria mtoto anatakiwa alelewe na mama mpaka umri fulani ndo anaweza kwenda kwa baba.

Huwezi kuwa mama ng'ooo!
 
Kwa Tanzania haliwezekani hakuna sheria inayoruhusu hayo mambo.
Kama pesa unayo nenda nje ukafanye hitaji lako
 
Back
Top Bottom