Utaratibu wa kuwa na mtoto bila mama yake

Umemaliza kabisa mkuu, Fact.
 
usinipangie bob jinsi ya kuishi, kama mtoto ana ulazima na mama basi hata mama yangu yupo, bibi pia yupo na kama unahisi nina tatizo labda la urijali kutokana na point yako basi njoo upime
Unaweza kuwa rijali Upinde
 
Ndoa ni Ujinga
Ndoa ni Utapeli wa Kupigwa Vita
Kataa Ndoa
,,,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28]Daaah , mkuu wewe ni noma sijui umewaza ni mpaka kuanzisha hii kampeni!!![emoji23][emoji23][emoji23] Hua inanitafakarisha sana.
 
Ooh, kumbe ndoa ni utapeli pia!!!? Me sikuwa na tatizo na ndoa ila ni mimi tu binafsi nafeel nikiwa single ni unyama.
Saaaana asikwambie mtu, mwenyewe hapa wanawake sijui mahusiano nshafuta kwenye equations za maisha yangu.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…