Utashi wa kifikra wa vijana wengi wa kiume unazidi kupungua kwa kuendekeza kuangalia video/picha za ngono

Gol D Roger

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2023
Posts
2,316
Reaction score
6,082
Utafiti wa BBC unasema asilimia 37% ya internet search history zinahusiana na haya mambo na asilimia 35% ya downloads zote kwenye internet zinahusiana na haya mambo, vilevile asilimia kubwa ya watu wanao-search haya mambo ni wanaume tukiwa na asilimia 80% na wanawake asilimia 20%


Tasfiri yake;

Wanaume walikuwa mashuhuri/wakakamavu wakati ilipokuwa ngumu kuona picha za uchi za wanawake kwenye skrini.

Hii picha nimekutana nayo muda si mrefu, imenifikirisha sana, nimeileta humu kwa sababu ina ujumbe mzuri, natumaini wote tutajifunza kitu kwenye huu ujumbe.

For men.
 
𝐧𝐨 𝐟𝐚𝐩 𝐧𝐝𝐒𝐨 𝐦𝐩𝐚𝐧𝐠𝐨 𝐦𝐳𝐒𝐦𝐚
Ngoja nianze hii challenge Leo mkuu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…