Kweli kabisa,, tangu kipindi cha uwekezaji wa mabonanza(kamari) yamekuwa yakichota pesa zetu nyingi yapo mpaka vilabuni, mabaa na sehemu zingine ambazo hazifaiHii major influx ya Chinese hapa nchini inanipa wasiwasi kwa miaka mingi sana,kuna baadhi ya watu walianza kuhoji mrundikano wa wachina mitaani hadi wanauza viatu k/koo,walitukanwa wakaambiwa wanatumiwa na wazungu kuwachafua Chinese.
Nasema hivi,tusipoliangalia hili jambo kwa jicho la 3,kuna siku Chinese watakuja ku dictate siasa za nchi hii na wataamua nani awe rais wetu.
Time will tell..
Sisi tupo kwenye financial system huku tunaona vingi ni siri tu,ila simply ni kwamba,hakuna foreigners wanaongoza kuhamisha pesa kama wachina na kampuni zao uchwara,ni wajanja wajanja sana yaani.Kweli kabisa,, tangu kipindi cha uwekezaji wa mabonanza(kamari) yamekuwa yakichota pesa zetu nyingi yapo mpaka vilabuni, mabaa na sehemu zingine ambazo hazifai
Jipige kifuani halafu useme kwa sauti, mimi ni mpumbavu mzoefu!Nilishangaa watu kumpa mgogo bunge, mgogo huwa hana msimamo, anaweza kukukaribisha mtu baki am satisfy mkewe ili apate chochote
Haina ubishi kwamba wengi wa watendaji wa awamu ya tano , wamemgeuka kuwa wapinzani kwa mwendazake.Mgogo is useless na nimegundua tunatoa position bila kuangalia weledi wa watu.
Tulitegemea mradi huu upigiwe debe na wapinzania sio na Watendaji wa Serikali ya awamu ya 5 wakiongozwa na Spika
Sema mwenyewe mwenye upumbavu wako kwanini nikusemeeJipige kifuani halafu useme kwa sauti, mimi ni mpumbavu mzoefu!
Ndugu, wewe umebahatika kuuona huo mkataba? Wananchi watajadili nini wakati hata wabunge ambao ndio wawakilishi wanajadili kitu hewa kwa hisia? Isihi serikali ipeleke mkataba bungeni na pia uwekwe public.1. Vyombo vya Habari viwe Uhuru ili watanzania ambao walikuwa kwenye kifungo cha miaka 5 dhidi ya uhuru wao wa kutoa maoni wawe uhuru kujadili miradi isiyokuwa na uwazi kwa Taifa la Tanzania.
2. Tumeshuhudia Kifo cha JPM ambacho kina utata mwingi na maswali mengi yasiyojibika. Baada ya kifo hiki hata zile speed za Corona this Corona that hatuzisikii tena, badala yake maisha yanaenda kama kawaida....kwa wenye kutafakari hii inatupa TAFSIRI kubwa sana. Lakini muda ndiyo HAKIMU wa Kweli.
View attachment 1750423
View attachment 1750424
3. Mradi wa Bagamoyo ambao unapigiwa debe kwa sasa ni miongoni mwa miradi ambayo ndani yake ulikuwa na vipengele ANGAMIZI kwa taifa la Tanzania. JPM aliusimamisha mradi huu pamoja na miradi mingi ya NSSF kwa kushirikiana na wataalam wake na miongoni mwa hao wataalam ni hawa wanaopigia debe mradi huu kwa sasa.
4. Sisi kama wananchi, Tulitarajia kuona maelezo ya awali kutoka kwa SPIKA kwanini mradi huu ulisimamishwa kama ulikuwa na TIJA katika taifa letu huku yeye akiwa ni sehemu ya serikali iliyosimamisha huo mradi.
5. Tulitarajia kuona DISCUSSION ya kwanza ya huu mradi ni wananchi kuuelewa na kuona je kuna ulazima wa huu mradi, faida na hasara zake juu ya Taifa Hilo. Ielezwe pia Why Bagamoyo ? Je ni sehemu pekee yenye mlango mpana kwa TZ ?
6. Ijadiliwe terms za Procuring entity dhidi ya Supplier, tuone je zinafaida kwa taifa letu au ni hasara za long term kama tunavoona hasara za mwendo kasi na majumba yaliyogeuka kuwa magofu ya NSSF Huko Kigamboni.
Tunamsikia spika anaanza kuwa na defensive speech kuwa HAKUNA ANAYETAKA KUUZA NCHI!
Are we stupid or what ?
Why did he jump into that conclusion wakati wananchi wanahitaji kuelewa kwanza[emoji845]this is very immature kwenye majadiliano ya HOJA hasa kwa maslaha ya Taifa.
There is something fishy nyuma ya hii ishu na kuna watu wanaanza kujisogeza kwenye position zao japo wapo kimya.
7. Tunajua mradi huu ulikuwa ni dili la awamu ya 4 na serikali ya China ambapo kwa sasa ameshaanza kujisogeza baada ya kifo cha JPM.
View attachment 1750421
Swali la msingi ni Procurement Proceedures gani zilitumika kumpendekeza huyu Mtu ? Je Procurement Act dhidi ya Public Private Partnership inasema nini ?
Tunapiga kelele na CAG report ya sasa, kuna Mtanzania aliyesoma CAG report ya 2013/2014. Pitieni huko kwanza ndio mje kusema tulikuwa tunaibiwa. Haya ya sasa ni muendelezo wa kipindi cha 13/14
Mradi huu ujadiliwe kwa mapama na uwazi tena na watu ambao ni brained sio hao wasanii na form 4 leavers waliojazana mjengoni. Hakuna sababu za kuharakisha kwa hii kasi inayokuja kwa sasa.
Huenda ikawa ni HASARA nyingine kwa taifa
——
Kuzikwa gizani ndo Nini??Aende zake alitufanya tuishi kwa hofu. Alitisha kila mtu na kubana maslahi yote sio tu ya kifisadi hadi yale ya kisheria. Mvunja katiba na sheria mkubwa. Hata Mungu hakumpenda maana alijipa hadi cha kuongoza malaika. Huyu hata Mungu hakumpokea ndio maana alizikwa gizani. Hahaa hahaaa!.
Sisi tupo kwenye financial system huku tunaona vingi ni siri tu,ila simply ni kwamba,hakuna foreigners wanaongoza kuhamisha pesa kama wachina na kampuni zao uchwara,ni wajanja wajanja sana yaani.
Mimi naamini mikataba inayopaswa kuwa siri ni inayohusu mambo ya ulinzi,hii mingine inayohusu investments kwenye rasilimali zetu naujenzi wa miundombinu haistahili hata kufichwa kwa dakika moja.Tumejenga huu utaratibu na kuulea toka mwanzo,eti leo ndio tunakuja hapa kuhoji uhalali wa mkataba mmoja tu wa Bandari ya Bagamoyo,watanzania siku tukipona ugonjwa wa UNAFIKI tutafika mbali sana...
1. Vyombo vya Habari viwe Uhuru ili watanzania ambao walikuwa kwenye kifungo cha miaka 5 dhidi ya uhuru wao wa kutoa maoni wawe uhuru kujadili miradi isiyokuwa na uwazi kwa Taifa la Tanzania.
2. Tumeshuhudia Kifo cha JPM ambacho kina utata mwingi na maswali mengi yasiyojibika. Baada ya kifo hiki hata zile speed za Corona this Corona that hatuzisikii tena, badala yake maisha yanaenda kama kawaida....kwa wenye kutafakari hii inatupa TAFSIRI kubwa sana. Lakini muda ndiyo HAKIMU wa Kweli.
View attachment 1750423
View attachment 1750424
3. Mradi wa Bagamoyo ambao unapigiwa debe kwa sasa ni miongoni mwa miradi ambayo ndani yake ulikuwa na vipengele ANGAMIZI kwa taifa la Tanzania. JPM aliusimamisha mradi huu pamoja na miradi mingi ya NSSF kwa kushirikiana na wataalam wake na miongoni mwa hao wataalam ni hawa wanaopigia debe mradi huu kwa sasa.
4. Sisi kama wananchi, Tulitarajia kuona maelezo ya awali kutoka kwa SPIKA kwanini mradi huu ulisimamishwa kama ulikuwa na TIJA katika taifa letu huku yeye akiwa ni sehemu ya serikali iliyosimamisha huo mradi.
5. Tulitarajia kuona DISCUSSION ya kwanza ya huu mradi ni wananchi kuuelewa na kuona je kuna ulazima wa huu mradi, faida na hasara zake juu ya Taifa Hilo. Ielezwe pia Why Bagamoyo ? Je ni sehemu pekee yenye mlango mpana kwa TZ ?
6. Ijadiliwe terms za Procuring entity dhidi ya Supplier, tuone je zinafaida kwa taifa letu au ni hasara za long term kama tunavoona hasara za mwendo kasi na majumba yaliyogeuka kuwa magofu ya NSSF Huko Kigamboni.
Tunamsikia spika anaanza kuwa na defensive speech kuwa HAKUNA ANAYETAKA KUUZA NCHI!
Are we stupid or what ?
Why did he jump into that conclusion wakati wananchi wanahitaji kuelewa kwanza[emoji845]this is very immature kwenye majadiliano ya HOJA hasa kwa maslaha ya Taifa.
There is something fishy nyuma ya hii ishu na kuna watu wanaanza kujisogeza kwenye position zao japo wapo kimya.
7. Tunajua mradi huu ulikuwa ni dili la awamu ya 4 na serikali ya China ambapo kwa sasa ameshaanza kujisogeza baada ya kifo cha JPM.
View attachment 1750421
Swali la msingi ni Procurement Proceedures gani zilitumika kumpendekeza huyu Mtu ? Je Procurement Act dhidi ya Public Private Partnership inasema nini ?
Tunapiga kelele na CAG report ya sasa, kuna Mtanzania aliyesoma CAG report ya 2013/2014. Pitieni huko kwanza ndio mje kusema tulikuwa tunaibiwa. Haya ya sasa ni muendelezo wa kipindi cha 13/14
Mradi huu ujadiliwe kwa mapama na uwazi tena na watu ambao ni brained sio hao wasanii na form 4 leavers waliojazana mjengoni. Hakuna sababu za kuharakisha kwa hii kasi inayokuja kwa sasa.
Huenda ikawa ni HASARA nyingine kwa taifa
——
Tatizo sio awamu wala nini,Tatizo kubwa hapa ni sera(Foreign Policy) yetu dhidi ya China,Tumekuwa tukiwaona Wachina kama marafiki zetu for decades kuanzia awamu ya kwanza,hii imefanya hata tupunguze umakini wetu katika kuwafanyia screening hawa watu wanapokuja hapa nchini.Hilo linajulikana. Na hao wachina walikaribishwa zaidi awamu ya 4.Nimesema hapo juu, Mchina hajawahi kuwa Rafiki wa taifa la Africa lolote. Mchina yupo kwenye vita vya kuwa Super power dhidi ya USA.
Siku mchina ana dominate TZ, ujue tutapata shida sana.
Rais awamu ya 4 ndio ilimkaribisha kwa pupa mchina,
View attachment 1752239
Mwambie aliyeanzaTujadilini hoja. Tuache kujadili cheap things
Uko SAHIHI kuwa miradi karibia yote hawekwi wazi utofauti wake huu ripoti ilitolewa haufai na hakuna aliyepinga miongoni mwa viongozi wetu.hawa wanaCCM walikubaliana mradi unaua taifa ni wanCCM hawahawa kasoro mwendazake hayupo wanadai uwekezaji huu una tija kwa taifa.tunataka walete sababu zao kuzicrash zile 11 za mwendazake.kwanini tunataka uwe wazi kwa sababu tuliaminishwa haufai kutoka ngazi ya juu kabisa sasa tunataka watuaminishe unafaa kwa uwazi kwa mjadala..Enzi za Magu, ukipinga mradi wowote. Watu wasiojulikana wanakuijia. Sijawahi kuona mkataba wowote waCCM unawekwa hadharani, watu wachangie.
Kwenye uchaguzi wenyewe, CCM walipitishana. Ww unayepinga kama nani?
Tatizo sio awamu wala nini,Tatizo kubwa hapa ni sera(Foreign Policy) yetu dhidi ya China,Tumekuwa tukiwaona Wachina kama marafiki zetu for decades kuanzia awamu ya kwanza,hii imefanya hata tupunguze umakini wetu katika kuwafanyia screening hawa watu wanapokuja hapa nchini.
Haiwezekani watu wajanja wajanja wawepo tu,kodi hawalipi ipasavyo,maana ofisi zao ni kwenye ma go-down.This isn't about awamu, its totally about our foreign policy with Chinese.
Hoja inaweza kua nzuri ila nikiona unaambatanisha jpm ninahis kitu kinanikaba kooni sijui kwann? Ok acha tuone itakavokua