Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunahisi, tunajua au tunaamini kuwa wametekwa / wameshikwa /wamekamatwa? Tusubiri kuona / kusikia ukweli! Tulizeni munkari! Msibwabwajikwe na maneno!Bashite huyo. Hakuna mwingine..
Mungu wa darisalama
Itakuwa ni jeshi la Bashite, lenye uwezo wa kufanya lolote, na chochote,mahala popote, na ataye thubutu kuhoji, anafutwa kazi mara moja!Kakamatwa na nani? Jeshi la polisi au jeshi la bashite?
Kwani Nay alikamatwa kwa lipi?mgongo wa shangazi yako.ulivyo kuwa na akili fupi kama maisha ya inzi chooni.unadhani kila anayepotea ni njama za magufuli acha ufala.roma apotezwe kwa lipi.
Kwanini asijitokeze hadharani na kutueleza waliko wana hawa wapotevuTe te te te mnataka afanyeje sasa. Leo siku ya mapumziko
Haya ni mahaba ya dhati.Kuchukuliwa kwa Roma na wenzake na watu wasiowajua kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia na Inahitaji miwani mikali sana inayoweza kupenya kwa rays!!
Kwanza Roma Mkatoliki mwanamuziki si tishio kwa usalama wa Taifa kabisa hata maudhui ya nyimbo zake ameanza kuimba toka utawala wa Dr Kikwete wala sio tishio kabisa ila anapeleka ujumbe tu.
Ila kutoka na Serikali ya Dr Magufuli kutishia usalama wa maslahi ya wasiopenda kufuata sheria za nchi hii basi Serikali yake imekuwa na maadui kila kona na kila siku wanatafuta namna ya kuitangazia dunia kuwa Serikali ya Dr Magufuli ni kandamizi kitu ambacho si kweli.
Na Imani kabisa walioteka Roma Mkatoliki ni watu wenye lengo la kuichafua Serikali ya Dr Magufuli matope na nia hii ovu utashindwa tu kwasababu Rais anasimamia maslahi ya watanzania wote bila kujali DINI,rangi,kabila wala elimu iliyokuwa nayo.
Serikali ina mambo mengi ya msingi ya kushughulika nayo hawezi kuacha ianze kukata Roma MTU anajitafutia riziki kwa kuimba tena ktk hali ngumu hii ambayo watu wamepunguza hata starehe sasa.
Labda hajapotea yumo mikononi mwa serikali sasa tatizo lipo wapi kama kashikwa na serikali?Kwanini asijitokeze hadharani na kutueleza waliko wana hawa wapotevu
Acha masiala wewe kiki mtu ajulikani alipo had wife wake analia hakuna kitu kama hivyo afu kupotea kwenye game hakuna kitu kama icho naisi wew mkuu unafatilia mziki wa sengeli ndo maana unasema kapotea kwny gameKupotea kwa Roma si tukio la serious ni kutafuta kiki tu
Alikuwa kashapotea kwenye game hivyo basi anatafuta kiki ili arude kwenye chati
Si kweli!!!!! Alita ku zoom bahati mbaya aka like hata mie inanitokeaga!!!!!!
Mkuu!Wasifikiri kwakua Ney katolewa jela wakajua nao wataachwa watukane wanavyojickia
Nashauri Dr. Mwele aongoze tume...Akipotea Faru John PM anaunda tume na sampuli zinatumwa nje kuchunguzwa.
Akipotea Ben, Roma au mtu mwingine PM anapiga kimya.
Tuunde tume ya kuchunguza akili za viongozi wetu.
Hakuna mlevi mwenye unafiki mbele ya pombeAmeshindwa ku-unlike?