Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara

Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara

Akipotea Faru John PM anaunda tume na sampuli zinatumwa nje kuchunguzwa.

Akipotea Ben, Roma au mtu mwingine PM anapiga kimya.

Tuunde tume ya kuchunguza akili za viongozi wetu.
Unaweza kuwa na point lakini wakati mwingine tusiingize sana mambo ya siasa na uhai wa binadamu kama kweli wamepotea. Watu wamechapisha sana Tshirt mpaka sasa hatujui hiyo fund ina msaada gani na familia na upoteaji wa huyo Ben. Faru John issue yake ni tofauti japo unanishangaa kwa kusema hivyo.
 
Sasa shida ni nini? Kulike inachukua sekunde ngapi?

Kama ameamua kukaa kimya kimpango wake! Sisi tutaendelea na zoezi la kudai ROMA arejeshwe.
 
Nyie mnatoa comment wakati hamhuji chochote kile mnauchungu Sana na Roma mbona hamuongelei Ben sanane vichwa vya kuku nyie mnasahau mapema Sana mkishiba tu mkitoka msalani munasahau mumekula chakula gani
 
Sijui kwanini Mungu anaendelea kuwapa kibali hawa jamaa!! Anyways,hope they are reluctant coz they know everything about,,labda ndio wahusika sasa watafanyaje zaidi ya KULIKE post za Mange?
 
Tanzania mpya ya tuliokuwa tunahubiriwa ndio hii nadhani tunaiona haina uburu hata chembe, unaweza kutekwa na kupelekwa pasipojulikana na govt isifanye jambo. M/mungu tunakuomba waepushie balaa hili roma na wenzake, Ameen.
 
Wanamuziki wa tanzania hamna umoja wenu wa kutetea haki zenu kama hizi,jitahidini kuwa na umoja wenu ambao utapaza sauti kwa kutetea haki zenu,au kazi za basata ni zipi kwa watanzania??
 
Kapotea saanane hata chama hakijaonesha mshtuko sembuse roma. Waziri nae ana maisha yake binafsi bana.
 
Utaduni wetu unajulikana kua wakati wa kula hutakiwi kuongeaa,

Ndo maana hadi leo pamoja mwigulu kudai kua ben saa nane ni rafiki yake,ila amekua kama hajui kua aliahidi kutoa taafa kuhusu kilichopata swahiba yake.

Mzeee wa kunyonyoka ngozi nae kimyaaaa kama hayupo bongo hiii.
 
mwigulu maji yamemfika shingoni, 2020 nakwambia chadema watapokea watu wengi sana.
 
Utaduni wetu unajulikana kua wakati wa kula hutakiwi kuongeaa,

Ndo maana hadi leo pamoja mwigulu kudai kua ben saa nane ni rafiki yake,ila amekua kama hajui kua aliahidi kutoa taafa kuhusu kilichopata swahiba yake.

Mzeee wa kunyonyoka ngozi nae kimyaaaa kama hayupo bongo hiii.
mwiguluneti shahidi wa ugaidi mbinguni na duniani.....
Huyo mnyonyoka nywele mpumbavu sana hana faida yoyote kwahili taifa
 
Back
Top Bottom